Asirudie masomo ya kidato cha nne. Akasomee fani anazopenda. VETA/FETA/vyuo NACTE.Naombeni ushauri mdogo angu kamaliza kidato Cha nne na kapata four ya 26 Ana "F" ya phy na math pia "C"ya history na kiswahili yaliyobaki Ana "D" Kama Ni kurudia arudie masomo gani? Naombeni ushauri
Hakuna haja ya kurudia akirudia atapoteza muda na pia anaweza asiongezee kitu, NACTE anaweza kusoma kozi yoyote isipokuwa engineering na afya ukitoa pharmacyNaombeni ushauri mdogo angu kamaliza kidato Cha nne na kapata four ya 26 Ana "F" ya phy na math pia "C"ya history na kiswahili yaliyobaki Ana "D" Kama Ni kurudia arudie masomo gani? Naombeni ushauri