Yes umesema kitu cha msingi inaonekana Dada yako na huyo Dada wako karibu kwa kiasi flan hivyo kuna uwezekano huoIla mkuu amuache mtoto kweli?
hilo limwanamke si ata mfeed maneno mabovu kuhusu baba yake na sidhan kama atakua mama mzuri
C dhan kama hata ungekua wwHaya maisha kwel hayana formula m2 umeona umsaidie msaidiane katka maisha mara ghafla anabadlka.... Ungemuacha vilevile nayo ingekua shida maskin pole jipe moyo... Upendo ni gharama unaweza ruka mkojo ukakanyaga kinyesi mfate uko aliko and talk to her ucwe una assume tu ukiwa arusha nenda mzungumze.... Upendo ni gharama sana kumpenda m2 ni gharama kubwa na lazma ukubal yote ila kuna muda ukifka inabd umuache mtu kwa ajil yako mwaya.... Kukaa kmya co suluhisho... Soln ni kuongea nae na ukajua msmamo wake uko wapi katika ndoa...!
Mmmh! Wanawake huwajui wewe, haya kwao ni ya kawaida kabisa. Mwanamke hata awe smart kiasi gani na mwanaume wake ampe kila kitu chenye matamanio mwilini mwake na machine pake, usaliti ni kugusa tu tena inategemea na nguvu tu za ushawishi za huyo anaemshawishi si zake.Nna waswas na.nguvu za giza
mana.sio.akili.ya mtu wa kawaida kabisa..
Mkuuu unaelewa maana ya kujitambua.. M2 ukijitambua utajua kuishi na malimbukeni wa maisha hasa walioshka pesa ukubwan kama uyo dada! Kingne cc tukiongea yy ndo anabak na maamuz ya maisha yao ya ndoa mkuu! Nasstiza upendo ni gharamaC dhan kama hata ungekua ww
Ungeweza kwenda aliko
Kuanza upia kuongea nae
Kwa sababu ww co mwny
Kosa mwny kosa n yy
Yan mtu anakaaa mwez bila
Kukupgia cm na ukipga ww
Haipokelew na huyo alikua
N mkeo
Na ww ndo ulimuinua
Ili msaidiane maisha yawe mazur
Na mlee mtt kwny mazingira
Mazur
Af anafkia hatua hyo yakubadilika
Kiashicho then mm ndo
Niende nkamuombe
Tukae chin tuongee
Kwan nmemkosa nn mm
Na yy ndo ana makosa
Wacha jamaaa ameamua
Maamuz mazur tu
Maaana hawez kuendelea
Kupenda aspopendwa
Kuna matokeo yote, chanya na hasi kama dunia isingekuwa na hii jinsia. Wengi wameharibu ndoto zao kupitia mahusiano yaliyoharibika.Dah unanikumbusha jamaa yangu ila yeye ni Muethiopia tulikuwa tunafanya kazi pamoja muda mrefu nchi za watu, alikuwa anasomesha mchumba wake USA na karibu likizo zoote alikuwa anaenda huko. Dada kagraduate jamaa karudi toka likizo USA tuna muona kabadilika, yupo peke yake muda mwingi, hamuongelei mchumba wake tena kama alivyozoea, anacharaza kinywaji sana, anakuwa mmbishi sana kazini na mgomvi, utendaji wa kazi ukaanza kuwa mbaya sana sana.Ila muda woote hatukuwa tunajua ni kitu gani kimemtokea. Kuna wakati aliugua akapewa likizo ya muda mfupi ya matibabu, aliporudi ikawa mambo yaleyale - Cha kushangaza kuna siku aliamua kuondoka kurudi nchini kwakwe bila ofisi kujua. Ofisi ikaamua kumfuta kazi na vifaa vya kazi akaambiwa aviwasilishe hukohuko nchini kwake kwenye ofisi yetu ya Addis Ababa...... Baadaye taharifa zikaja kuwa chanzo cha mabadiliko ya tabia ya mwenzetu kumbe ni mchumba wake. Inasemekana alipoenda likizo ya mwisho mwanamke wake alimwambia amepata mchumba mwingine hivyo yeye asahau mahusiano yao kabisa.... Jamaa yake mpya wa huyo aliyekuwa mchumba wake naye akasiliba kabisa kwa kumuonya kuwa asijaribu kuingilia mahusiano na demu wake anayedai mpya kwake la sivyo atamchapa risasi. Na jamaa tunamjua ni mwoga sana hivyo aliamua kurudi bila kutunishiana misuli na mwizi wake.......Baadaye Boss wetu wa kazi alisikitika sana alipopata hizi details na kuishia kusema laiti angelijua tatizo lilikuwa ni la mahusiano angempa msaada zaidi wa kisaikolojia badala ya kumfukuza.....Alikuwa jamaa poa sana sana kazini ..Dah mahusiano wakati mwingine huzaa majanga jamaa alipoteza kazi nzuri nadhani na waliokuwa wanamtegemea nyumbani nao waliathirika pia.
Ni afadhari ujikite kwenye shughuri zako za msingi maana ukimwazia sana huyo demu akili inaweza haribika kaka, amekutana na maisha mapya huko...
N kweli mkuu lakinMkuuu unaelewa maana ya kujitambua.. M2 ukijitambua utajua kuishi na malimbukeni wa maisha hasa walioshka pesa ukubwan kama uyo dada! Kingne cc tukiongea yy ndo anabak na maamuz ya maisha yao ya ndoa mkuu! Nasstiza upendo ni gharama