john ndale
Member
- Sep 1, 2015
- 70
- 96
Kwanza pole sana kwa yote yaliyo kukuta...pili wana wake sio wakuwapa asilimia mia moja....na hata maandiko matakstifu yamesema tuishi nao kwa makini......tatu uamzi ulio uchukua uko sahihi kwa asilimia mia moja.....pole sana......