Ushauri: Tabia ya mke wangu kunidharau inaniumiza sana

wala usiumie sepa utaona atakavyohaha shenzy kweli
ukitaka kujua tabia za binadamu afanikiwe kidogo ndo utamjua
 
Naomba niende kwny mada .mke wng alikuwa mama wa nyumban nilikaa nae kwa upendo sanaaa cjawahi kujutia na upendo sanaaa na heshima.mpk Dada yng akasema nifanye mpng mke wng awe na kazi basi nikaanza mchakato kumpa elimu pia nikamtafutia kazi kabla ya kuanza kazi tulikuwa tunawasiliana kila cku maaan nimezaa nae mtoto 1 .nikamtafutia kazi mm nipo arusha akapangiwa kazi bukoba ss ndio tatizo limeanzia hapo.wiki ya kwnz kuripoti mwasaliano yalikuwa mazuri sanaaa maaaan hela ya kuanzia nilimpa ss alipoanza kupokea mshahara duuuuh akaaanza kunifanyia dharau napiga cm hapokei hata miss calls 30 akija hakutafuti nakutafuta cku akipenda nikimuuliza Mara nilikuwa busy na kazi hata jmosi na jmpl busy ucku busy basi umerudi home mbona unitafuti Mara simu haikuwa na Salio nakuuliza tafadhali nipigie kwny cm ukuwa nazo mbona ulipokuwa ujaanza kazi ukuwa na tabia hiyo umefika uko umekuwa busy.kunipigia cm kwa mwezi Mara 1 tenaaa aniuliza mzima ww nilikuwa nakusalimia au naomba kuongea na mtoto basi unaweza kumuona online whatuaspp online ukituma SMS asbh anakujibu ucku ukiuliza nilikuwa unachat na best zake daaa niliumia siku ambayo aliniambia kwa ss siwezi kufanya lolote ana kazi yake .cku hiyo nilitka nimfanyie kitu ambacho hawezi kusahau maishani mwake nilitaka niende kazini kumharibia kazi ila Dada yng aliniomba nisifanye hivyo baaada ya kumwambia nakuja kufany hivyo akamwambia mama yake.mama yk akaniomba nisifny hivyo sikutka kumusikiliza ila nilisikiliza ushauri wa Dada yng .mwaka 1 umeisha sina mawasiliano mazuri mama yake akaniomba nimsamehe nikakubali ila kasema atajirekebisha wiki 1 tu baadae akaanza tabia yake toka anze kazi cjawahi kumuomba hela yake najua mshahar anapokea bei gani kuna cku nikamuomba hela kidogo akasema nakutumia baaadae akaniambia sina nilimuuliza hela yako unafanyia nn maaaan sijawahi kkuomba hela yako wala kkuliza mshahar wako unapeleka wapi hana cha kuniambia. Kwnz kuongea nae kwa mwezi 1 moja mpk nimeamua nikae kimia simuulizi lolote nimemuacha afanye anachojickia siwahi kumuuliza ss.mm kwa ss nimekuja dar kikazi Nina miezi 2 wala cjamwambia km nipo dar nimekaaa kimia Nina mpango wa kusafiri nje ya nchi kwa muda wa miaka 2 sijamuambia nyumba ya arusha nimemuweka MTU natka niuze nyumba ya dar na gari yang niondoke zng bila kumwambia mwanangu nimepeleka kwa Dada yng na nimemtafutia shule nzuri mm najindaaa kuondoka nikifika nje ya nchi namba itakuwa haipatikan ya tz hawezi kunipata nirudi tz nitaaanza maisha Mpya na mwanangu kuoa tenaaaa sitaki je nimefany kosa au pia ndugu zake nimeacha mawasiliano nao kabsa baaada ya ndugu yako unifanyia sivyo
SAWASAWA MKUU HILO NDO LA MUHIMU.........
 
hayo ndo maamuzi ya kiume,,,,,,wanawake wanasomeshwa na wazazi wao tuuuu.............hakikisha mwanao yuko vema.....
 
Naomba niende kwny mada .mke wng alikuwa mama wa nyumban nilikaa nae kwa upendo sanaaa cjawahi kujutia na upendo sanaaa na heshima.mpk Dada yng akasema nifanye mpng mke wng awe na kazi basi nikaanza mchakato kumpa elimu pia nikamtafutia kazi kabla ya kuanza kazi tulikuwa tunawasiliana kila cku maaan nimezaa nae mtoto 1 .nikamtafutia kazi mm nipo arusha akapangiwa kazi bukoba ss ndio tatizo limeanzia hapo.wiki ya kwnz kuripoti mwasaliano yalikuwa mazuri sanaaa maaaan hela ya kuanzia nilimpa ss alipoanza kupokea mshahara duuuuh akaaanza kunifanyia dharau napiga cm hapokei hata miss calls 30 akija hakutafuti nakutafuta cku akipenda nikimuuliza Mara nilikuwa busy na kazi hata jmosi na jmpl busy ucku busy basi umerudi home mbona unitafuti Mara simu haikuwa na Salio nakuuliza tafadhali nipigie kwny cm ukuwa nazo mbona ulipokuwa ujaanza kazi ukuwa na tabia hiyo umefika uko umekuwa busy.kunipigia cm kwa mwezi Mara 1 tenaaa aniuliza mzima ww nilikuwa nakusalimia au naomba kuongea na mtoto basi unaweza kumuona online whatuaspp online ukituma SMS asbh anakujibu ucku ukiuliza nilikuwa unachat na best zake daaa niliumia siku ambayo aliniambia kwa ss siwezi kufanya lolote ana kazi yake .cku hiyo nilitka nimfanyie kitu ambacho hawezi kusahau maishani mwake nilitaka niende kazini kumharibia kazi ila Dada yng aliniomba nisifanye hivyo baaada ya kumwambia nakuja kufany hivyo akamwambia mama yake.mama yk akaniomba nisifny hivyo sikutka kumusikiliza ila nilisikiliza ushauri wa Dada yng .mwaka 1 umeisha sina mawasiliano mazuri mama yake akaniomba nimsamehe nikakubali ila kasema atajirekebisha wiki 1 tu baadae akaanza tabia yake toka anze kazi cjawahi kumuomba hela yake najua mshahar anapokea bei gani kuna cku nikamuomba hela kidogo akasema nakutumia baaadae akaniambia sina nilimuuliza hela yako unafanyia nn maaaan sijawahi kkuomba hela yako wala kkuliza mshahar wako unapeleka wapi hana cha kuniambia. Kwnz kuongea nae kwa mwezi 1 moja mpk nimeamua nikae kimia simuulizi lolote nimemuacha afanye anachojickia siwahi kumuuliza ss.mm kwa ss nimekuja dar kikazi Nina miezi 2 wala cjamwambia km nipo dar nimekaaa kimia Nina mpango wa kusafiri nje ya nchi kwa muda wa miaka 2 sijamuambia nyumba ya arusha nimemuweka MTU natka niuze nyumba ya dar na gari yang niondoke zng bila kumwambia mwanangu nimepeleka kwa Dada yng na nimemtafutia shule nzuri mm najindaaa kuondoka nikifika nje ya nchi namba itakuwa haipatikan ya tz hawezi kunipata nirudi tz nitaaanza maisha Mpya na mwanangu kuoa tenaaaa sitaki je nimefany kosa au pia ndugu zake nimeacha mawasiliano nao kabsa baaada ya ndugu yako unifanyia sivyo
mnaoaga kwa kufuata mkumbo.....? ukiona hamuelewani na mwenzio kuna mshenga kisha kuna wazazi, nenda huko utaata ufumbuzi. kupenda ni rahisi lkn kazi kulienzi pendo.
 
Mkuu pole sana, uko sahihi , endelea na mipango poti.

My philosophy:
Mke/mchumba hasomeshwi , kama hakusoma kwao ndo basi tena.
 
Aiseee wale watu wanaowazuia wake zao kufanya kazi yoyote ili wawe mama wa nyumbani wakiuona uzi huu hata Kama walikuwa na nia yakuregeza misimamo yao hakiyamungu lazima waendelee kukaza hawsaa...
Maana Mada Hii inaumiza Sana
Kweli kaka
 
Naomba niende kwenye mada, mke wangu alikuwa mama wa nyumbani nilikaa nae kwa upendo sana sijawahi kujutia na upendo sana na heshima mpaka dada yangu akasema nifanye mpango mke wangu awe na kazi, basi nikaanza mchakato kumpa elimu pia nikamtafutia kazi kabla ya kuanza kazi tulikuwa tunawasiliana kila siku maana nimezaa nae mtoto1. Nikamtafutia kazi mimi nipo Arusha akapangiwa kazi Bukoba sasa ndio tatizo limeanzia hapo.

Wiki ya kwanza kuripoti mawasaliano yalikuwa mazuri sana maana hela ya kuanzia nilimpa sasa alipoanza kupokea mshahara duuuuh! Akaaanza kunifanyia dharau napiga simu hapokei hata miss calls 30 akija hakutafuti anakutafuta siku akipenda, nikimuuliza Mara nilikuwa busy na kazi hata Jumamosi na Jumapili busy usiku busy basi umerudi home mbona unitafuti Mara simu haikuwa na Salio, nikimuliza tafadhali nipigie kwenye simu hukuwa nazo mbona ulipokuwa ujaanza kazi hukuwa na tabia hiyo umefika uko umekuwa busy.

Kunipigia simu kwa mwezi Mara 1 tena aniuliza mzima wewe nilikuwa nakusalimia au naomba kuongea na mtoto basi, unaweza kumuona online whatuaspp online ukituma SMS asubuhi anakujibu usiku ukiuliza nilikuwa unachat na best zake dah! Niliumia siku ambayo aliniambia kwa sasa siwezi kufanya lolote ana kazi yake siku hiyo nilitaka nimfanyie kitu ambacho hawezi kusahau maishani mwake nilitaka niende kazini kumharibia kazi ila dada yangu aliniomba nisifanye hivyo baada ya kumwambia nakuja kufanya hivyo akamwambia mama yake.

Mama yake akaniomba nisifanye hivyo sikutaka kumsikiliza ila nilisikiliza ushauri wa daada yangu mwaka 1umeisha sina mawasiliano mazuri mama yake akaniomba nimsamehe nikakubali ila kasema atajirekebisha wiki 1 tu baadae akaanza tabia yake toka anze kazi sijawahi kumuomba hela yake najua mshahara anapokea bei gani kuna siku nikamuomba hela kidogo akasema nakutumia baadae akaniambia sina nilimuuliza hela yako unafanyia nini maana sijawahi kukuomba hela yako wala kukuuliza mshahara wako unapeleka wapi hana cha kuniambia.

Kwanza kuongea nae kwa mwezi 1 moja mapaka nimeamua nikae kimia simuulizi lolote nimemuacha afanye anachojisikia sikuwahi kumuuliza sasa mimi kwa sasa nimekuja Dar kikazi nina miezi 2 wala sijawahi kumwambia kama nipo Dar nimekaa kimya, nina mpango wa kusafiri nje ya nchi kwa muda wa miaka 2.

Sijamuambia nyumba ya Arusha nimemuweka mtu nataka niuze nyumba ya Dar na gari yangu niondoke zangu bila kumwambia, mwanangu nimepeleka kwa dada yangu na nimemtafutia shule nzuri, mimi najiandaa kuondoka nikifika nje ya nchi namba itakuwa haipatikani ya Tanzania hawezi kunipata. Nirudi Tanzania nitaaanza maisha mapya na mwanangu kuoa tena sitaki.

Je, nimefanya kosa au pia ndugu zake nimeacha mawasiliano nao kabsia baada ya ndugu yako kunifanyia sivyo.
Mh kwanza pole. Lakini dawa ya tatizo ni kutatua ndugu siyo kukimbilia nje ya nchi maana huko nako wapo heart breakers tu. Cha kufanya nenda bukoba kisirisiri usimwambie chunguza anapoishi fanya uchunguzi kwa makini ujue jeuri anaipata kwa nani, ukishajua tu wewe leta mrejesho.

Sikuungi mkono kuuza nyumba zako na kuondoka hata kama ungekaa 10 years huko nje. Kwa sababu nyumba ni asset ipo tu na itaendelea kuwepo mtoto wako si yupo? Huyo mwanamke kama ni wa ndoa huwez mkimbia kihivyo hata kama ana makosa kuna sheria zitakubana. Tuliza kichwa baba ndoa zina changamoto usipime hiyo yako ni cha mtoto!!! Mwanaume wa kweli anatatua matatizo wala hayakimbii.
 
Mkuu pole sana, uko sahihi , endelea na mipango poti.

My philosophy:
Mke/mchumba hasomeshwi , kama hakusoma kwao ndo basi tena.
Nakusihi usibadili falsafa yako, zaidi endelea kusambaza ujumbe kwa vijana

606675421a47cb109965b13add794166.jpg
 
Kuuza nyumba bila CONSENT ya huyo mke,utakuwa unamuingiza matatizoni mnunuzi,kaeni chini na mkeo,gawaneni kila mtu akafie mbele.
Sheria haitambui kama mke alikuwa anakucheat,muonee huruma mteja wako ambae atakuwa anasumbuka wewe ukiwa UKRANE.
 
Usimuhusishe kuhusu mipango yako,lakini angalau acha mazingira salama unakotoka ila pia ukirudi uwe na amani,kwakuwa umeamua basi,ningekuwa mimi ni kila mtu afe na chake.
 
Tumekusikia wewe wa upande mmoja kwa vile haiwezekani tu na yeye kumsilikiza, tungekuwa tumesikiliza pande mbili ndio tungekupa ushauri murua!
 
Upo sahihi kamanda. Kama uliyoandika hapa ni sahihi basi upo sahihi kwa asilimia 800.

Piga chini mhudumie mwanao tafuta mtoto mwingine mzuri utulie.
Huyu mjomba vipi? Mbona tatizo dogo sana Hilo? Au huyo mke wake aliozeshwa Kama zile ndoa za kidosi au kiarabu?
 
Naomba niende kwenye mada, mke wangu alikuwa mama wa nyumbani nilikaa nae kwa upendo sana sijawahi kujutia na upendo sana na heshima mpaka dada yangu akasema nifanye mpango mke wangu awe na kazi, basi nikaanza mchakato kumpa elimu pia nikamtafutia kazi kabla ya kuanza kazi tulikuwa tunawasiliana kila siku maana nimezaa nae mtoto1. Nikamtafutia kazi mimi nipo Arusha akapangiwa kazi Bukoba sasa ndio tatizo limeanzia hapo.

Wiki ya kwanza kuripoti mawasaliano yalikuwa mazuri sana maana hela ya kuanzia nilimpa sasa alipoanza kupokea mshahara duuuuh! Akaaanza kunifanyia dharau napiga simu hapokei hata miss calls 30 akija hakutafuti anakutafuta siku akipenda, nikimuuliza Mara nilikuwa busy na kazi hata Jumamosi na Jumapili busy usiku busy basi umerudi home mbona unitafuti Mara simu haikuwa na Salio, nikimuliza tafadhali nipigie kwenye simu hukuwa nazo mbona ulipokuwa ujaanza kazi hukuwa na tabia hiyo umefika uko umekuwa busy.

Kunipigia simu kwa mwezi Mara 1 tena aniuliza mzima wewe nilikuwa nakusalimia au naomba kuongea na mtoto basi, unaweza kumuona online whatuaspp online ukituma SMS asubuhi anakujibu usiku ukiuliza nilikuwa unachat na best zake dah! Niliumia siku ambayo aliniambia kwa sasa siwezi kufanya lolote ana kazi yake siku hiyo nilitaka nimfanyie kitu ambacho hawezi kusahau maishani mwake nilitaka niende kazini kumharibia kazi ila dada yangu aliniomba nisifanye hivyo baada ya kumwambia nakuja kufanya hivyo akamwambia mama yake.

Mama yake akaniomba nisifanye hivyo sikutaka kumsikiliza ila nilisikiliza ushauri wa daada yangu mwaka 1umeisha sina mawasiliano mazuri mama yake akaniomba nimsamehe nikakubali ila kasema atajirekebisha wiki 1 tu baadae akaanza tabia yake toka anze kazi sijawahi kumuomba hela yake najua mshahara anapokea bei gani kuna siku nikamuomba hela kidogo akasema nakutumia baadae akaniambia sina nilimuuliza hela yako unafanyia nini maana sijawahi kukuomba hela yako wala kukuuliza mshahara wako unapeleka wapi hana cha kuniambia.

Kwanza kuongea nae kwa mwezi 1 moja mapaka nimeamua nikae kimia simuulizi lolote nimemuacha afanye anachojisikia sikuwahi kumuuliza sasa mimi kwa sasa nimekuja Dar kikazi nina miezi 2 wala sijawahi kumwambia kama nipo Dar nimekaa kimya, nina mpango wa kusafiri nje ya nchi kwa muda wa miaka 2.

Sijamuambia nyumba ya Arusha nimemuweka mtu nataka niuze nyumba ya Dar na gari yangu niondoke zangu bila kumwambia, mwanangu nimepeleka kwa dada yangu na nimemtafutia shule nzuri, mimi najiandaa kuondoka nikifika nje ya nchi namba itakuwa haipatikani ya Tanzania hawezi kunipata. Nirudi Tanzania nitaaanza maisha mapya na mwanangu kuoa tena sitaki.

Je, nimefanya kosa au pia ndugu zake nimeacha mawasiliano nao kabsia baada ya ndugu yako kunifanyia sivyo.
uko sahh hv viumbe kk havina formular ukitaka kua perfect unaonekana mjinga ukiwa harsh lawama
bt gud idea ulio nayo nw ww hangaika na mwanao tu huyo ww achana nae
 
30 Reactions
Reply
Back
Top Bottom