proxy
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 1,468
- 1,329
Wadau habarini za muda huu, mategemeo yangu mu wazima wa afya na mmeanza kusukuma gurudumu la maendeleo baada ya uchaguzi kupita kwa amani.Nije moja kwa moja kwenye mada nina msichana ambaye namtokea taklibani mwaka sasa ni msichana mzuri sio kisura ila kwa tabia.
Huwa nkutananae mala kazaa na kuongeanae ila shida inakuja ukimgusia mahusiano ndio changamoto inapoanza ,yani anaweza kukata hata simu lakini kama mnaongea mambo mengine tofauti na mahusiano mnaweza ongea hata lisaa . Msichana ni mlokole na hoja yake ya msingi ni kwamba hawezi anzisha mahusiano na mtu mwenye imani tofauti na yake .
Huyu ni binti ambaye sijatembea naye ingawa huwa nakutana na kuongea nae mala kazaa na mala ya mwisho nimekutana nae jmosi hii wakati nampelekea zawadi yake ya kuzaliwa.Kwa kawaida huwa nampigia usiku kuanzia saa 4 hadi 5 na tunaongea bila shida ila ukimgusia kuhusu mahusiano ndio tatizo linapoanza.
Wenye uzoefu na hawa wanawake walokole mje tujadili kidogo hii kitu wakuu.
Huwa nkutananae mala kazaa na kuongeanae ila shida inakuja ukimgusia mahusiano ndio changamoto inapoanza ,yani anaweza kukata hata simu lakini kama mnaongea mambo mengine tofauti na mahusiano mnaweza ongea hata lisaa . Msichana ni mlokole na hoja yake ya msingi ni kwamba hawezi anzisha mahusiano na mtu mwenye imani tofauti na yake .
Huyu ni binti ambaye sijatembea naye ingawa huwa nakutana na kuongea nae mala kazaa na mala ya mwisho nimekutana nae jmosi hii wakati nampelekea zawadi yake ya kuzaliwa.Kwa kawaida huwa nampigia usiku kuanzia saa 4 hadi 5 na tunaongea bila shida ila ukimgusia kuhusu mahusiano ndio tatizo linapoanza.
Wenye uzoefu na hawa wanawake walokole mje tujadili kidogo hii kitu wakuu.