snayper
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 302
- 217
wanahitaji minimum point 6, atleast chemistry C, biology D, Physics Evp kuhusu digirii ya nursing wao wanahitaji nini
wanahitaji minimum point 6, atleast chemistry C, biology D, Physics Evp kuhusu digirii ya nursing wao wanahitaji nini
namshaur aombe SUA kuna course nzuri tu atapata, lkn kwa course za afya ni ngumu kwa kulingana na guidebook ya TCU wanataka atleast C in chemistryAmepata division two ya 11 ya PCB. phyc D, Chemistry D, Biology C. anapenda kusoma kozi ya afya. naombeni ushauri kama atapata au
Kama uwezo upo awasiliane na Global Education Link wamtafutie chuo cha nje kama India hivi au China-inawezekana akapata afya. Anaweza pia akapata BSc (BLS)-Biotechnology and Laboratory Science . Kuna option ya afya ndani yake .Amepata division two ya 11 ya PCB. phyc D, Chemistry D, Biology C. anapenda kusoma kozi ya afya. naombeni ushauri kama atapata au
iyo BLS kwa hapa kwetu ipoKama uwezo upo awasiliane na Global Education Link wamtafutie chuo cha nje kama India hivi au China-inawezekana akapata afya. Anaweza pia akapata BSc (BLS)-Biotechnology and Laboratory Science . Kuna option ya afya ndani yake .
Kama uwezo upo awasiliane na Global Education Link wamtafutie chuo cha nje kama India hivi au China-inawezekana akapata afya. Anaweza pia akapata BSc (BLS)-Biotechnology and Laboratory Science . Kuna option ya afya ndani yake .
iyo BLS kwa hapa kwetu ipo
Weka picha yake tuoneAmepata division two ya 11 ya PCB. phyc D, Chemistry D, Biology C. anapenda kusoma kozi ya afya. naombeni ushauri kama atapata au
Amepata division two ya 11 ya PCB. phyc D, Chemistry D, Biology C. anapenda kusoma kozi ya afya. naombeni ushauri kama atapata au
JARIBU KUANGALIA DIPLOMA YA MEDICAL LABORATORY ILA SIO LAZIMA MPAKA IWE BUGANDOMe pia nmepata hivyo naweza pata medical laboratory Bugando?
Amepata division two ya 11 ya PCB. phyc D, Chemistry D, Biology C. anapenda kusoma kozi ya afya. naombeni ushauri kama atapata au
Kaka ata Mimi nmepata hivi napenda kusoma medical laboratory ila naomba TCU wameandika uwe na C ya chemia bios D na E ya physics daah nawaza kwel
Me pia nmepata hivyo naweza pata medical laboratory Bugando?
Amepata division two ya 11 ya PCB. phyc D, Chemistry D, Biology C. anapenda kusoma kozi ya afya. naombeni ushauri kama atapata au
Msaada ndugu zangu kuna dogo wangu ana matokeo haya Phy-E Chem-D Bio-D anaweza kupata chuo kijana kama huyu?
Halafu programme gani za degree anaweza kupata kirahisi.
Naomba majibu wadau.
Amepata division two ya 11 ya PCB. phyc D, Chemistry D, Biology C. anapenda kusoma kozi ya afya. naombeni ushauri kama atapata au
Dah kapata kama mm mwaka jana.. ila nkaangukia Urban and Regional Planning (Bsc.URP) Ardhi university..
Kama ni mzuri wa sura na umbile, mpeleke akasomee diploma ya katibu muhutasi... Huko ataenda ku husstle wakati ajira zenyewe mishahara mbuzi. Bora asome vitu rahisi aje apate mshahara huo huo, I tell you.Amepata division two ya 11 ya PCB. phyc D, Chemistry D, Biology C. anapenda kusoma kozi ya afya. naombeni ushauri kama atapata au
ushauri wa humu wakati mwingine si sahihi maana wengine hawajasoma na waliosoma wanaweza kuwakatisha tamaa wenzao, Ni vyema upate copy ya kitambu ya TCU omba hata softcopy japo unaweza kukidownload pia, angalia humo kozi anazotaka na cutting points zake kama zinajitosheleza kusoma hizo kozi/ faculty, kama hujawahi kabisa kufabya applications basi uliza kwa mtu ikiwa na kitabu kabisa, kwa mtoto wa kike hizo marks bado ni nzuri tu changamoto ni competition maana wengi wamefaulu kama yeye au zaidi yake, hivyo asisahau pia kufanya application za diploma kwa hizo kozi za afya anazotakaAmepata division two ya 11 ya PCB. phyc D, Chemistry D, Biology C. anapenda kusoma kozi ya afya. naombeni ushauri kama atapata au
Kama ni mzuri wa sura na umbile, mpeleke akasomee diploma ya katibu muhutasi... Huko ataenda ku husstle wakati ajira zenyewe mishahara mbuzi. Bora asome vitu rahisi aje apate mshahara huo huo, I tell you.
Kwenye afya kusoma ni hustle na mazingira ya kufanya kazi sio rafiki kabisa. Wakati akipata kazi ya ureceptionist anapigwa kiyoyozi, na kubofya bofya computer, mda wa kazi ukiisha huyoo anapanda kivitz chake kurudi nyumbani!
Yep! Angekuwa mtoto wangu au hata mimi mwenyewe ningefanya hivi hivi. Kwani wewe unapenda mtoto wako afanye kazi ngumu kwa malipo kidogo?Kwa mfano huyo binti angekua ni mwanao, ushauri huu ungekuwa applicable ? au ushauri wako ni "tailor made" kwa watoto wa wenzako tu pekee ?
Just a question