Me pia nmepata hivyo naweza pata medical laboratory Bugando?hawezi kupata vyuo vya serikali labda ajaribu nursing hubert kairuki na st john
hizo ni minimum admission requirement entry haimanishi ukiwa na hizo ni lazima utapata hiyo degree programme kwa vyuo vya serikali sahau kupata course za afya jaribu vyuo vya privateKaka ata Mimi nmepata hivi napenda kusoma medical laboratory ila naomba TCU wameandika uwe na C ya chemia bios D na E ya physics daah nawaza kwel
Tena Private yenyewe IMTU au KIUhizo ni minimum admission requirement entry haimanishi ukiwa na hizo ni lazima utapata hiyo degree programme kwa vyuo vya serikali sahau kupata course za afya jaribu vyuo vya private
imtu imefungiwa KIU nacho kimefungiwaTena Private yenyewe IMTU au KIU
hapa tunategemea mkopoMna wa kumsomesha wenyewe Au anategemea Mkopo wa Serikali?
Kama uwezo wa kumsomesha mnao Basi akasomee udaktari Kwa Kuwa sifa stahiki anazo lakin Kama mnategema Mkopo wa Serikal ushindani Ni Mkubwa Sana
st john wenyew point zao wanazohitaji ngapihawezi kupata vyuo vya serikali labda ajaribu nursing hubert kairuki na st john
hubert kairuki wao gharama zao inaweza ikawa ngapist john wenyew point zao wanazohitaji ngapi
Basi elekeni jiweimtu imefungiwa KIU nacho kimefungiwa
download tcu guide bookhubert kairuki wao gharama zao inaweza ikawa ngapi
Umependa kitu kizuri bro hautojutia katika maisha yako.Kaka ata Mimi nmepata hivi napenda kusoma medical laboratory ila naomba TCU wameandika uwe na C ya chemia bios D na E ya physics daah nawaza kwel
Koozi za afya zote chini ya TCU zinadai at least a C ya Chemistry haijalishi ni chuo gani.Amepata division two ya 11 ya PCB. phyc D, Chemistry D, Biology C. anapenda kusoma kozi ya afya. naombeni ushauri kama atapata au
Kwa vigezo vya TCU hatapata. Cut off point ni 8 kwa masomo matatu ya PCB lakini Chemistry na Biology awe na C. Aingie kozi yoyote SUA atapata, isipokuwa veterinary competition itampa shida.Amepata division two ya 11 ya PCB. phyc D, Chemistry D, Biology C. anapenda kusoma kozi ya afya. naombeni ushauri kama atapata au
Point kwa vyuo vyote ni sawa maana vyote vinawekewa vigezo na TCU.st john wenyew point zao wanazohitaji ngapi
Ni zaidi ya milioni sita kwa MD na hiyo ni ada tu!hubert kairuki wao gharama zao inaweza ikawa ngapi
vp kuhusu digirii ya nursing wao wanahitaji niniKwa vigezo vya TCU hatapata. Cut off point ni 8 kwa masomo matatu ya PCB lakini Chemistry na Biology awe na C. Aingie kozi yoyote SUA atapata, isipokuwa veterinary competition itampa shida.