Naombeni Ushauri kuhusu utofauti wa umri katika mapenzi

me and I

JF-Expert Member
Jul 8, 2016
1,540
1,355
Habari za Asubuhi wakuu
Kwanza kabisa mm binafsi sijawahi kutoa post yoyote kwenye jukwaa hili ila Leo nimekuja kuomba ushauri, Mimi ni msichana mwenye miaka 25 nipo mbeya kikazi, mnamo Mwaka huu mwez wa 2, nilikutana na mwanaume tukaanza mahusiano na majuzi ameniweka wazi nia yake ya kutaka twende kwa wazazi akatoe mahali, Mimi sijamkatalia nimemwambia anipe muda , but the thing is yeye Ana umri mkubwa Kama 14 years mbele yangu, na Ana mtoto mmoja ,.. Naombeni ushauri wakuu nifanyeje au kwa wazazi huwa wanachukuliaje kumpeleka mchumba aliekuzid umri hivo .. Asanten
 
Habari za Asubuhi wakuu
Kwanza kabisa mm binafsi sijawahi kutoa post yoyote kwenye jukwaa hili ila Leo nimekuja kuomba ushauri, Mimi ni msichana mwenye miaka 25 nipo mbeya kikazi, mnamo Mwaka huu mwez wa 2, nilikutana na mwanaume tukaanza mahusiano na majuzi ameniweka wazi nia yake ya kutaka twende kwa wazazi akatoe mahali, Mimi sijamkatalia nimemwambia anipe muda , but the thing is yeye Ana umri mkubwa Kama 14 years mbele yangu, na Ana mtoto mmoja ,.. Naombeni ushauri wakuu nifanyeje au kwa wazazi huwa wanachukuliaje kumpeleka mchumba aliekuzid umri hivo .. Asanten
Wala usiwaze umri ni namba tu.
 
Nakushauri ongea na mama yako kwanza kama yupo. Tafuta ushauri kupitia yeye muulize kuhusu age na kukubalika kwake na kila kitu. una uhakika umemjua vizuri huyo bwana. maana wengi wenye watoto na Age zimeenda mara nyingi wanakuwaga maplayer wa chini chini na wanakuwa na wanawake wengi hasa akiwa na pesa.. mahusiano ya siri na wazazi wa watoto zao na je utaweza kumudu drama za baby mama's zao. kama umemchunguza yuko vizuri kitabia na utaweza kukaa na kufanya maisha nae go ahead. ila anza kuongea na Mama yako au Dada au Shangazi muulize..
 
me nawaza uko mbele tu.

atakufa na kuniacha mjane muda mrefu.

ataingia uzeeni mapema, kudili na wazee inahitaji moyo.

atachoka mapema na kuacha Yale tuliyozoea kufanya wakati mimi bado nguvu zipo eg.outings

chumbani itakuwa majanga

kipendacho roho.....
 
Kitaalam umri kati ya wapenzi usizid miaka 5,kuna baadhi ya matatizo yanayoweza kujitokeza kama wapenzi wametofautian sana umri.
Matatizo hayo ni mtu mmoja kubaki mjane au mgani kwa muda mrefu,mtu mmoja kutaka kauli zake ziwe usemi wa mwisho hasa yule mwenye umri mkubwa kumfanya mwenzake kama hana mawazo mazuri kutokana na udogo wa miaka yake,Pia mpenzi mmoja kutoweza kushiriki tendo la ndoa kutokana na uzee hali mwingine akawa bado anatamani mambo haya.Nk
Lakini kama una amua kuwa na mpenz mkubwa sana kuliko wewe chaguo ni lako lakini baadae kutatokea shida kama hizo hapo juu.
 
me nawaza uko mbele tu.

atakufa na kuniacha mjane muda mrefu.

ataingia uzeeni mapema, kudili na wazee inahitaji moyo.

atachoka mapema na kuacha Yale tuliyozoea kufanya wakati mimi bado nguvu zipo eg.outings

chumbani itakuwa majanga

kipendacho roho.....

Kwaiyo kuwa mkubwa kiumri ndo kuwahi kufa?
 
me nawaza uko mbele tu.

atakufa na kuniacha mjane muda mrefu.

ataingia uzeeni mapema, kudili na wazee inahitaji moyo.

atachoka mapema na kuacha Yale tuliyozoea kufanya wakati mimi bado nguvu zipo eg.outings

chumbani itakuwa majanga

kipendacho roho.....

Mawazo yako bana.

Vifo husababishwa na vitu vingi sana, umri sio kwa sana.

Watu huzeeka kulingana na aina ya maisha na mazingira. Kuna watu umri umeenda, ila bado wanaonekana poa tu, na vice versa.

Kuhusu chumbani usijali sana, mtatumia Hugh Hefner's manual.
 
me nawaza uko mbele tu.

atakufa na kuniacha mjane muda mrefu.

ataingia uzeeni mapema, kudili na wazee inahitaji moyo.

atachoka mapema na kuacha Yale tuliyozoea kufanya wakati mimi bado nguvu zipo eg.outings

chumbani itakuwa majanga

kipendacho roho.....
Chumbani itakuwa majanga?? Unapenda dyudyu kwa wingiee?!!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom