me and I
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 1,540
- 1,355
- Thread starter
- #61
Sio wanaumeUongo mtupu,mtu anataka kukuia bado hajakutoa chupi?labda itakua jogoo hawiki au ni mchungaji au ni malaika
sasa kwa difference ya miaka 14 mimi ndo naanzaje kuzeeka.....Unaweza zeeka wewe na ye ukamuacha
Mawazo yako bana.
Vifo husababishwa na vitu vingi sana, umri sio kwa sana.
Watu huzeeka kulingana na aina ya maisha na mazingira. Kuna watu umri umeenda, ila bado wanaonekana poa tu, na vice versa.
Kuhusu chumbani usijali sana, mtatumia Hugh Hefner's manual.
Kama unampenda na untaka kutengeneza future nae na unaona malengo yako yatatimia sioni kama kunatatizo lkn kama unataka mabishoo tu wanjini wakochezee mpaka unazeeka, mkatae. ila ninachofahamu kwa uzoefu wangu ukifikia miak 30 hujaolewa imekula kwako, maana mtaali siku hizi walembo kibao na wanatafuta kuolewa.Habari za Asubuhi wakuu
Kwanza kabisa mm binafsi sijawahi kutoa post yoyote kwenye jukwaa hili ila Leo nimekuja kuomba ushauri, Mimi ni msichana mwenye miaka 25 nipo mbeya kikazi, mnamo Mwaka huu mwez wa 2, nilikutana na mwanaume tukaanza mahusiano na majuzi ameniweka wazi nia yake ya kutaka twende kwa wazazi akatoe mahali, Mimi sijamkatalia nimemwambia anipe muda , but the thing is yeye Ana umri mkubwa Kama 14 years mbele yangu, na Ana mtoto mmoja ,.. Naombeni ushauri wakuu nifanyeje au kwa wazazi huwa wanachukuliaje kumpeleka mchumba aliekuzid umri hivo .. Asanten
umemaanisha mwanaume?ACHA UONGO MWANAMKE HATA AKIWA 50YRZ BADO ANAKUWA NA HAMU YA KUFANYA MAPENZI KAMA ULIKUWA HUJUI
of courseUnaweza kufa wewe yeye akaendelea kuishi. Achaga izo mafikra ase
mie niko sawa mdada 27yrzumemaanisha mwanaume?
sijaongelea hamu bro naongelea performance.
n what's with the caps lock au umeguswa?
Asante kwa ushauri ndugu
Bado ila ananisaidia vitu vingi Sana
MWANAUME KUKUSAIDIA SIYO KIGEZO CHAKUWA ANAKUPENDA UNALIFAHAMU HILO?
Kwani unaandikwa katka paji la uso??? Unataka kuolewa au kuandikisha sensa ya watu na makazi???Habari za Asubuhi wakuu
Kwanza kabisa mm binafsi sijawahi kutoa post yoyote kwenye jukwaa hili ila Leo nimekuja kuomba ushauri, Mimi ni msichana mwenye miaka 25 nipo mbeya kikazi, mnamo Mwaka huu mwez wa 2, nilikutana na mwanaume tukaanza mahusiano na majuzi ameniweka wazi nia yake ya kutaka twende kwa wazazi akatoe mahali, Mimi sijamkatalia nimemwambia anipe muda , but the thing is yeye Ana umri mkubwa Kama 14 years mbele yangu, na Ana mtoto mmoja ,.. Naombeni ushauri wakuu nifanyeje au kwa wazazi huwa wanachukuliaje kumpeleka mchumba aliekuzid umri hivo .. Asanten