OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,189
- 103,708
Kwa ufupi
Kuna binti aliolewa na jamaa mmoja toka 2015. Mwishoni mwa mwaka jana ikatokea mtafaruku kati yao wakatengana toka mwishoni mwa mwaka jana mpaka hivi karibuni.
Mtafaruku ulisababishwa na jamaa kuishi na mke mwingine kinyemela wakati wakiwa kwenye mtafaruku.
Kutokana na kutokuelewana huko wakatengana bila kupeana talaka,huku makiwa na watoto wawili. Kumbuka kwamba wote walikuwa wafanyakazi hivyo walikuwa na mchango katika kutafuta mali za familia.Jamaa akaanza mahusino na mwanamke mwingine toka mwishoni ambaye inaonekana alifunga naye ndoa kinyemela.
Bahati mbaya jamaa amefariki juzi kati na kuacha watoto watatu. Wawili wa binti aliyetengana naye na mmoja wa binti aliyemuoa kinyemela.
Napenda kufahamu mambo kadhaa kisheria na kimantiki juu ya haki ya huyu binti aliyetengana naye
1. Binti huyu ni mke halali wa marehemu?
2. Ni ipi haki ya huyu binti katika miradhi
Kuna binti aliolewa na jamaa mmoja toka 2015. Mwishoni mwa mwaka jana ikatokea mtafaruku kati yao wakatengana toka mwishoni mwa mwaka jana mpaka hivi karibuni.
Mtafaruku ulisababishwa na jamaa kuishi na mke mwingine kinyemela wakati wakiwa kwenye mtafaruku.
Kutokana na kutokuelewana huko wakatengana bila kupeana talaka,huku makiwa na watoto wawili. Kumbuka kwamba wote walikuwa wafanyakazi hivyo walikuwa na mchango katika kutafuta mali za familia.Jamaa akaanza mahusino na mwanamke mwingine toka mwishoni ambaye inaonekana alifunga naye ndoa kinyemela.
Bahati mbaya jamaa amefariki juzi kati na kuacha watoto watatu. Wawili wa binti aliyetengana naye na mmoja wa binti aliyemuoa kinyemela.
Napenda kufahamu mambo kadhaa kisheria na kimantiki juu ya haki ya huyu binti aliyetengana naye
1. Binti huyu ni mke halali wa marehemu?
2. Ni ipi haki ya huyu binti katika miradhi