tete'a'tete
JF-Expert Member
- Feb 10, 2010
- 472
- 62
Wakuu,
Hope muu wazima!
Nisaidieni jana kuna ndugu yangu alikuwa anatuma hela through M-pesa kutumia simu yake sasa akakosea namba ya mwisho bila kujua ikaenda kwa mtu mwingine na hiyo aliigundua ilipomrudishia message kwa sababu hakuweza kujua ni namba ipi aliikosea kwa hiyo hakuweza kutress ile namba wakati huo kumwomba aliyemtumia amrudishie hiyo hela, akawa anawatafuta Voda nao wakawa busy kama tujuavyo system yao ilivyoelemewa baada kama ya dakika kumi na mbili hivi akawapata kuwaelezea watatress wakakuta yule mtu ameshadraw zile pesa, basi voda msaada waliompa huyu ndugu yangu ni kumpa namba ya aliyedraw zile hela ili ampigie na asimwongeleshe kwa hasira maana anaweza akadestroy hiyo namba na mazungumzo yakawa hivi:
Ndugu yangu -- akapiga simu ikapokelewa akamwomba nimetuma hela kwako kimakosa samahani naomba unisaidie unirudishie nina shida kweli nilikuwa namtumia ndugu yangu yupo Kcmc mama yetu amelazwa anafanyia operation kesho.
Aliyedraw hela akamjibu... hizo hela kweli ziliingia na kwa sababu nilikuwa nategemea kutumiwa kiasi hichohicho tsh 150,000 za ada za mtoto wa shule kwa hiyo imebidi haraka nikazidraw na nimeshazitumia kumbuka hapo ni saa kumi na moja na nusu hivi na kosa lilitokea saa kumi na moja kamili hela alidrwa kumi na mona na dakika tisa. akamwambia sasa sina hela itabidi mpaka nitafute nikipata nitakutumia..
Ndugu akanielezea nikamwambia hebu nipe namba ya huyo mtu akanipa jibu likawa lilelile...
Sasa wakuu nataka kujua hii M-pesa inawalinda vipi wateja wao wakikosea kutuma hela kimakosa, na hao customer care kweli walishindwa kuwasiliana na huyu mtu arudishe hela ya mtu, eti wanamwambia asimtukane wala kumsemea vibaya..mpaka sasa ndugu yangu huyo hajarudishiwa cha hela wala nini je nimshauri vipi?? hayo ndio masahibu ya M-pesa yaliyotokea jana...
Hope muu wazima!
Nisaidieni jana kuna ndugu yangu alikuwa anatuma hela through M-pesa kutumia simu yake sasa akakosea namba ya mwisho bila kujua ikaenda kwa mtu mwingine na hiyo aliigundua ilipomrudishia message kwa sababu hakuweza kujua ni namba ipi aliikosea kwa hiyo hakuweza kutress ile namba wakati huo kumwomba aliyemtumia amrudishie hiyo hela, akawa anawatafuta Voda nao wakawa busy kama tujuavyo system yao ilivyoelemewa baada kama ya dakika kumi na mbili hivi akawapata kuwaelezea watatress wakakuta yule mtu ameshadraw zile pesa, basi voda msaada waliompa huyu ndugu yangu ni kumpa namba ya aliyedraw zile hela ili ampigie na asimwongeleshe kwa hasira maana anaweza akadestroy hiyo namba na mazungumzo yakawa hivi:
Ndugu yangu -- akapiga simu ikapokelewa akamwomba nimetuma hela kwako kimakosa samahani naomba unisaidie unirudishie nina shida kweli nilikuwa namtumia ndugu yangu yupo Kcmc mama yetu amelazwa anafanyia operation kesho.
Aliyedraw hela akamjibu... hizo hela kweli ziliingia na kwa sababu nilikuwa nategemea kutumiwa kiasi hichohicho tsh 150,000 za ada za mtoto wa shule kwa hiyo imebidi haraka nikazidraw na nimeshazitumia kumbuka hapo ni saa kumi na moja na nusu hivi na kosa lilitokea saa kumi na moja kamili hela alidrwa kumi na mona na dakika tisa. akamwambia sasa sina hela itabidi mpaka nitafute nikipata nitakutumia..
Ndugu akanielezea nikamwambia hebu nipe namba ya huyo mtu akanipa jibu likawa lilelile...
Sasa wakuu nataka kujua hii M-pesa inawalinda vipi wateja wao wakikosea kutuma hela kimakosa, na hao customer care kweli walishindwa kuwasiliana na huyu mtu arudishe hela ya mtu, eti wanamwambia asimtukane wala kumsemea vibaya..mpaka sasa ndugu yangu huyo hajarudishiwa cha hela wala nini je nimshauri vipi?? hayo ndio masahibu ya M-pesa yaliyotokea jana...