jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 19,092
- 35,885
Nipe fursa za hii GIS.Kama ulisoma Geography nenda pale udsm "jalalani" au ardhi ukasome Masters ya GIS..
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipe fursa za hii GIS.Kama ulisoma Geography nenda pale udsm "jalalani" au ardhi ukasome Masters ya GIS..
Acha dharau na kashfa boss... heshimu taaluma za wengine, hata wewe ulipita kwa mwalimu.Mwalimu unasoma Master degree ili iweje wakati hakuna muundo huo kwenye kazi yako hio ya vilaza.
Pambana kivingine hata usome Master degree bado wewe unabaki kuwa kilaza uliekosa fani nono na kukimbilia kwenye mteremko.
Habari njema. Kwema kabisa?Mkuu Braity habari za siku
Masters ni ubobevu katika eneo husika,tunategemea muhusika ujue unataka kubobea kwenye nini!!!Sawa.. ila natamani sana kusoma master ili niwe kilaza mwenye uhafadhali.. pia vipi nikifanikiwa kupata hyo master hv siwezi hamia wizara kiongozi..? Nipe ushauri chief.
Fanya Masters ya Education ukispecialize kwenye moja ya hizi areasKwema wakuu..
Naombeni ushauri. Mimi ni mwalimu nilisoma BACHELOR OF EDUCATION (BED. Geography) natamani kusoma masters sasa sijui nisomee masters ya kitu gani naombeni ushauri.
We ulifundishwa na vilaza mkuu?Mwalimu unasoma Master degree ili iweje wakati hakuna muundo huo kwenye kazi yako hio ya vilaza.
Pambana kivingine hata usome Master degree bado wewe unabaki kuwa kilaza uliekosa fani nono na kukimbilia kwenye mteremko.
Duh kakosea kusoma ualimu...?Ulishakosea kusoma education undergraduate. Hapo masters haitakusaidia labda upate kazi kwa kutumia degree yako kwenye corporate then upate uzoefu wa hiyo kazi miaka kazaaa ndio then usome masters yake.
Hiyo Ada ya masters uliyonayo sasa hivi nenda nje ya nchi kasome short course yenye fani adimu.
Mfano unahodha wa meli.
Watu wa namna hiyo tunawajua.... ego kubwa abilty kisoda..kushindwa kuheshimu taaluma ya mwenzako ni kukosa maarifa.Chief hajakuomba uje umvimbiee hapa,Ameomba ushauri khaa!!
Mkuu haya ni maamuzi mazuri soma tu elimu haimtupi mtu.Kwema wakuu..
Naombeni ushauri. Mimi ni mwalimu nilisoma BACHELOR OF EDUCATION (BED. Geography) natamani kusoma masters sasa sijui nisomee masters ya kitu gani naombeni ushauri.