BoyHimself
Member
- Mar 27, 2022
- 22
- 10
- Thread starter
- #41
Duh kwel hatarMchepuo wake hapati kozi yoyote ya kilimo..
SUAni CBG,PCM,PCB,CBA,CBN na Kombe zote za science pure
Duh kwel hatarMchepuo wake hapati kozi yoyote ya kilimo..
SUAni CBG,PCM,PCB,CBA,CBN na Kombe zote za science pure
DuhDogo chuo bata ukienda wewe kula bata acha kukaa kiboya..
Chamsingi tafuta pesa.
#MaendeleoHayanaChama
Kwan hana Nia njema na mm?Hata kama sio ndugu yako basi muonee hata uruma.
naufanyia kaziNenda kasome LAW. Huo ndio ushauri wangu kwako.
Sawa mkuuSomea SHERIA ☆☆☆
HAPO UTAKUWA NA WIGO MPANA KWENYE
SELF employment ☆☆☆100%
Serikalini☆☆☆
Private organisations ☆☆☆
***Hakikisha ukimaliza degree unaunga kabisa certification za wanasheria
LAW !!!!!!!!
Usisome kozi tu sababu demu/mshkaji wako anaisoma,
Hii kozi ina uhitaji mkubwa sana !
Nitazifatilia mkuu kiundan ZaidHGL,
somea sociolpgy, community development , social science, social work ni course nzuri sana na kazi zipp sana tu ni wewe kukomaa na chuo
Kama ana mdomo mzito simshauri
Kwan haiwezekanHGL aende somea Accountacy how come😅😅 labda kama alisoma BAM au aanzie cheti
Usibishe hata kidogo kuna madogo wapo pale wanasoma hzo coz kwa michepuo Ya ARTSHGL aende somea Accountacy how come😅😅 labda kama alisoma BAM au aanzie cheti
IFM sio chuo kikuu so siwezi bishana na weweUsibishe hata kidogo kuna madogo wapo pale wanasoma hzo coz kwa michepuo Ya ARTS
Au Environmental health MuhimbiliKasome agriculture SUA
Biashara kilimo Daah hii kozi ni nzuri sanaagribusiness anapata
Habari zenu wakuu,
Mdogo wenu nashukuru nimemaliza salama mtihani wangu wa kumaliza kidato cha sita natumaini nitafaulu vizuri.
Naomba mnipe maelekezo juu ya mambo ya kuyazingatia ninapoelekea katika level ya University ambayo nasikia hutakiwi kukurupuka.
Kinginee ni kuhusu kozi nzuri ya kwenda kuisomea maana kiukweli mimi sina uelewa wowote juu ya kozi za chuo.
Nipo mchepuo wa arts - HGL
Nawasilisha kwenu wakubwa zangu
Kwanza pole na hongera kwa kumaliza mtihan. kama tunavyojua n watu wachache sana wanamoyo na utayar wakutaka ushauri kuhusu chuo almost watu wengi wanajikutaga wao ndo wanajua Kila kitu/wengine hupotezwa sana wanapoenda kuaply vyuo stationary jambo la msingi inabid uisome tcu guide book New TCU Guide Book 2022 - TZCAREERS na kama hautaelewa kozi vizur unaweza kupitia hapa kupata maelezo ya kozi vizuri Course Archives - TZCAREERSHabari zenu wakuu,
Mdogo wenu nashukuru nimemaliza salama mtihani wangu wa kumaliza kidato cha sita natumaini nitafaulu vizuri.
Naomba mnipe maelekezo juu ya mambo ya kuyazingatia ninapoelekea katika level ya University ambayo nasikia hutakiwi kukurupuka.
Kinginee ni kuhusu kozi nzuri ya kwenda kuisomea maana kiukweli mimi sina uelewa wowote juu ya kozi za chuo.
Nipo mchepuo wa arts - HGL
Nawasilisha kwenu wakubwa zangu
University of Dar es salaamIFM sio chuo kikuu so siwezi bishana na wewe
Nimekuelewa mkuuM nakushauri what ever chuo utachopangiwa na ukiwa unaenda kwa hiyari yako JICHANGANYE NARUDIA TENA JICHANGANYE NARUDIA TENA JICHANGANYE we kuanzia first year mpaka unamaliza uwe mtu wa mishe mishe yani huku na kule usibweteke UTAKUJA USHUKURU