JMF
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 1,735
- 2,686
Salaam wana JF.
Naombeni uzoefu kwa mliowahi kutumia au mnaotumia CCTV camera iwe nyumbani, sehemu ya biashara au ofisini. Ni camera ipi inafaa kwa sehemu kama bar ambapo usiku kuna mwanga hafifu? Bei zake zipo vipi? Binafsi nahitaji camera ambayo itasevu picha kwenye pc au memory card yake.
Naombeni uzoefu kwa mliowahi kutumia au mnaotumia CCTV camera iwe nyumbani, sehemu ya biashara au ofisini. Ni camera ipi inafaa kwa sehemu kama bar ambapo usiku kuna mwanga hafifu? Bei zake zipo vipi? Binafsi nahitaji camera ambayo itasevu picha kwenye pc au memory card yake.