mkuu Redpanther umefikia hatua gani ya kuwaelewa kwenye mchakato wako? Mimi ni muhanga mpya najiandaa kujiripua, nimeanza utafiti
dharau
viburi
jeuri
kuzila jambo flani kunakotokana na hasira
Washamba wa mapenzi
Wanaheshima na wastaarabu
Wanapenda ulanzi huku iringa haukwepeki
Wahehe ukiwa mkorofi wanakisirani sana.... Atakuonyesha jeuri ila wanawahi kujishusha.....Mkuu mi nakushauri hao watu hawafai kuna jamaa yngu kaowa huko sasa hvi anaisoma namba ni wajeuri hao
Ktk hali ya uhalisia kabila la kwanza lenye wanawake wavumilivu ktk ndoa ni wahehe,, wanafuata waha, wasukuma nk, hayo makabila ni wavumilivu sanaaaa ktk ndoa. Hiyo ni tasmimi sio ya kupikwa, sasa tunapokuja kuhusu tabia ni mazingila aliokulia mtu, hapo sasa ndio kuna changamoto, hakuna kabila ambalo halina mwanamke Malaya hakuna kabila ambalo halina mwanaume mlevi. Kwa hiyo mkuuu soma tabia za huyo mwanamke wako na mazingila aliokulia ndio vitakufanya upate jibu sahihi, jambo lingine ukitaka mwanamke mcha mungu nawe uwe mchamungu, huwezi kutafuta MWANAMKE mcha mungu ikiwa ww ni mlevi, ukitaka mwanamke alietulia nawe ufunge zipu yakoMie nina Mwanamke wa Kihehe, huyu demu namuelewa sana. Ni mwanamke fulani hivi ukimuona unasema kabisa ama kweli Mungu fundi. Mtoto mrembo sana, ila mie nina mpango wa kumuweka ndani.
Ila kabla ya kumuweka ndani hebu nisaidieni kuwajua wahehe kiundani. Siwajui wahehe, hasa wanawake wa kihehe tabia zao hasa zikoje.
Naombeni mnipatie sifa zao, kabla sijazama sana. Ujue moyo ukizama sana kuna upofu unaingiaga hapo. Sasa kabla ya kuzama sana, nataka niwajue hawa watu wakoje.
Mila zao, ukitaka kuoa kwenye hilo kabila na Pia Maisha yao kiujumla yanakuwaga aje aje hivi.
Natanguliza shukrani
Kabila halitambulishi tabia ya mtuMkuu mi nakushauri hao watu hawafai kuna jamaa yngu kaowa huko sasa hvi anaisoma namba ni wajeuri hao
Mmmmh ww muangalie mwnyw tabia yk co kujumuisha kabila lakeDuuuh.. wacha niendelee kupiga fimbo tu huku naangalia Jiko sehemu nyingine
TrueMkuu mi nakushauri hao watu hawafai kuna jamaa yngu kaowa huko sasa hvi anaisoma namba ni wajeuri hao
Mie nina Mwanamke wa Kihehe, huyu demu namuelewa sana. Ni mwanamke fulani hivi ukimuona unasema kabisa ama kweli Mungu fundi. Mtoto mrembo sana, ila mie nina mpango wa kumuweka ndani.
Ila kabla ya kumuweka ndani hebu nisaidieni kuwajua wahehe kiundani. Siwajui wahehe, hasa wanawake wa kihehe tabia zao hasa zikoje.
Naombeni mnipatie sifa zao, kabla sijazama sana. Ujue moyo ukizama sana kuna upofu unaingiaga hapo. Sasa kabla ya kuzama sana, nataka niwajue hawa watu wakoje.
Mila zao, ukitaka kuoa kwenye hilo kabila na Pia Maisha yao kiujumla yanakuwaga aje aje hivi.
Natanguliza shukrani
Hilo kabila ni pasua kichwa mkuu
1.kiburi ndio nyumbani
2.Dharau
3.kujikweza
4.hawajui mapenzi
5.Hawajui kukataa (chawote/malaya)
6.Wavivu sana
Kachukue jiko rock city hakika hutapata stress kamwe.
HAYA MAMBO YA MAKABILA UKIYAFATILIA KIUNDANI ZAIDI UTASHIDWA KUFANYA MAAMUZI SAHIHI KATIKA MAISHA YAKO
KITU CHA MUHIMU KTK KUMUANGALIA MWANAMKE JIULIZE ANA UPENDO WA DHATI NA WEWE,YUPO TAYALI KUYAVUMILIA MADHAIFU YAKO , ANAKUPENDA KWELI ???
HIVYO NDO VITU MUHIMU MWANAMKE KAMA HAJAKUPENDA HATA ATOKEE KABILA MBINGUNI WORK DONE SAWA SAWA NA ZERO
Wahehe nawafahamu sana tena sana,
1. Kuhusu kiburi, si kwamba wanakiburi ni vile wanakupa heshima unayostahili km mwanaume ila ukizingua hasa kwenye uaminifu tu hapo anaweza asiongee na wewe hata mwezi. Na atpinguza au kuacha kufanya yale alikuwa akikufanyia km mme mwaminifu.
2. Ukarimu si wachoyo ni wakarimu.
3. Si wasumbufu km vile wakiona hujarudi wakupigie misimu eti ukowapi unafanya nini? Hiyo hawana wakijua uko poa basi.
4. Hawana uchu na tamaa ya fedha, hatakama anafanya kazi yupo tayari kukukabidhi mshahara wewe ndo umpe unachotaka.
Na mengine mengi. But mind u akugundua pasi shaka ya kwamba unamsaliti hahahaaaaaa lahashaaa ndo hawa unaona wana comment negatively