JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,356
- 9,611
Ushaweza, Piga solving za kutosha.Nipo Dodoma mkuu siku zingine huwa nakwenda maktaba na siku zingine darasani.
Kwa matokeo yangu ya mock hapo juu unadhani necta nitaweza kweli?
Ushaweza, Piga solving za kutosha.Nipo Dodoma mkuu siku zingine huwa nakwenda maktaba na siku zingine darasani.
Kwa matokeo yangu ya mock hapo juu unadhani necta nitaweza kweli?
Nitajitahidi mkuu kwahiyo tuseme hapo ilikuwa divison ipi?Halafu kwa nini Geography ulipata F? Yaani umelifanya somo rahisi kama hilo kuwa kama Hesabu vile!! Acha uzembe bhana.
Komaa ili kwenye huo Mtihani wako wa mwisho upate hata D tu.
I will doUshaweza, Piga solving za kutosha.
Hapo combination ya HKL imekubali! Masuala ya division waachie wenye shule zao.Nitajitahidi mkuu kwahiyo tuseme hapo ilikuwa divison ipi?
Sio kweli mkuu ,Wazo zuri sana mkuu.
niliskia watu hii mitihani ya hivi vituo ni migumu tofauti na necta je ni kweli mkuu?
Ni kweli mkuu mambo ni mengi sana lakini unaweza kunishauri ni muda gani mzuri zaidi kusomaSio kweli mkuu ,
Sema wanafunzi wengi wa open schools wanakuaga na mambo mengi sana kichwani nadhani unaelewa nacho maanisha.
We fight ili uende udsm au udom ukale mkopo na boom.
Pia solve past paper kuanzia 2010-2020 kwa masomo kama history ,literature, English na Geog
All the best
nashukuru mkuuHapo combination ya HKL imekubali! Masuala ya division waachie wenye shule zao.
Sasa masomo yenyewe yako 6, tutayawekaje sasa kwenye mfumo wa division!! Ulitakiwa ufanye masomo 7 bhana!!
Ahsubui na jion sana sana.Ni kweli mkuu mambo ni mengi sana lakini unaweza kunishauri ni muda gani mzuri zaidi kusoma
Sio usiku wa manane kuamkaAhsubui na jion sana sana.
Hata muda huo mzuri kama Unaweza.La maana mtangulize Mungu halafu soma kwa bidii na kwa kusolve maswali necta review 2000-2020.Pia ungefanya masomo saba ungepata cheti kupata.Advance hapo mbona uhakika .....ukishindwa sana unaanza na diploma.Lakini kwa matokeo hayo wewe utapata credits za advance private....na ungekuwa umepiga masomo saba nadhani hata shule za serikalini advance ungechaguliwaSio usiku wa manane kuamka