Naombeni ushauri juu ya utafutaji wa kazi nchi za Canada, Sweden na Norway kama Forklift Operator

Sufian Jr

Member
Aug 9, 2014
17
25
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu mi ni kijana wa Kitanzania nadhamira yangu kubwa ni kutaka kuthubutu kwenda nchi za ng'ambo kutafuta ridhiki. Nimebahatika kupata diploma in water supply and sanitation engineering pia baada ya msoto mrefu nikasomea Mambo ya kuendesha mitambo ijulikanayo kama forklift.

Hivyo kama kuna mwana JamiiForums ana ushauri juu ya hili na nchi gani naweza kwenda kuanzia tupeane ushauri.

NB: Napokea ushauri wowote na usisite kunipa onyo kwa kitu kinachomatter napokea + na -
 
Njia rahisi ni kwenda kama unataka kusoma, hivyo itakubidi ukaongeze elimu ukishahitimu ndio utakuwa na uwezo wa kubakia nchi husika na kufanya kazi, tofauti na hapo kupata work permit sio rahisi kama unavyofikiria mkuu.
 
kama upo below 35 years please komaa kuomba scholarships ingia www.moe.go.tz weka juhudi kuanzia october to February.

jifunze upishi ingia kwa kuzamia kwa kutumia meli hii pia ni njia ndefu. jifunze lugha ya nchi unayoenda kisha omba kuwa mwalimu wa kiswahili ama translator, hii pia ni njia ndefu.

tafuta marafiki wa biashara online kwa nchi husika uende kutembea kwa visit visa nauli na mengineyo utajigaramia.

anza kwa kusogea taratibu mfano nenda algeria unakaa kidogo then unaenda ghana then Misri kisha unaendelea kusogea taratibu yaani ndani ya miaka 4 ndio uwe umefika unakotaka
 
Nchi za watu kuendesha forklift haihesabiki kuwa ni fani.
Kule kila mtu anaweza kuendesha forklift yaani ukienda kiwandani engineer anaweza kuendesha forklift,Technician anaweza kuendesha forklift,machine operators wanaweza kuendesha forklift.

Na kwa kuongezea tu siku hizi kule nchi za mbali kuna forklift za kujiendesha zenyewe bila dereva.

Kwa hiyo hukutakiwa kujifunza forklift peke yake ilitakiwa ujifunze hydraulic machines zote kidogo ungekuwa na soko.
 
Hebu fuatilia web ya serikali ya Canada au ya ubalozi wa hapa wa Canada nilisikia wamekuja na mkakati wa kuiinua Canada kiuchumi kupitia rasilimali watu hivyo watakuwa wanapokea watu wanaohitaji kuhamia na kufanya kazi Canada. Mwaka huu wataanza na idadi ya watu kama 200,000 sijui mwaka 2021 watu laki nne na hadi pale watapositisha
 
Nchi za watu kuendesha forklift haihesabiki kuwa ni fani.
Kule kila mtu anaweza kuendesha forklift yaani ukienda kiwandani engineer anaweza kuendesha forklift,Technician anaweza kuendesha forklift,machine operators wanaweza kuendesha forklift.
Na kwa kuongezea tu siku hizi kule nchi za mbali kuna forklift za kujiendesha zenyewe bila dereva.
Kwa hiyo hukutakiwa kujifunza forklift peke yake ilitakiwa ujifunze hydraulic machines zote kidogo ungekuwa na soko.
Nimeipnda huu ushauri nashukuru
 
Hebu fuatilia web ya serikali ya Canada au ya ubalozi wa hapa wa Canada nilisikia wamekuja na mkakati wa kuiinua Canada kiuchumi kupitia rasilimali watu hivyo watakuwa wanapokea watu wanaohitaji kuhamia na kufanya kazi Canada. Mwaka huu wataanza na idadi ya watu kama 200,000 sijui mwaka 2021 watu laki nne na hadi pale watapositisha
Asante nitafanya hvyo
 
Canada ingia kwenye web yao www.canada.ca
wanachukua watu wanaotaka kwenda kufanya kazi kwa nchi yao kama una taka uraia wa kudumu ni wewe tu
mimi nishaomba tayari niko tayari kwenda kua mkimbizi kuliko kuwa kwenye taifa huru pasipo uhuru.
Canada ingia kwenye web yao www.canada.ca
wanachukua watu wanaotaka kwenda kufanya kazi kwa nchi yao kama una taka uraia wa kudumu ni wewe tu
mimi nishaomba tayari niko tayari kwenda kua mkimbizi kuliko kuwa kwenye taifa huru pasipo uhuru.

Canada ingia kwenye web yao www.canada.ca
wanachukua watu wanaotaka kwenda kufanya kazi kwa nchi yao kama una taka uraia wa kudumu ni wewe tu
mimi nishaomba tayari niko tayari kwenda kua mkimbizi kuliko kuwa kwenye taifa huru pasipo uhuru.
Nakudm fanya ucheki mkuu
 
Nchi ulizo zitaja ni ngumu sana kupata visa sio tu visa ya kufanya kazi Bali hata tourist or visiting visa
Kwa sasa kwenda kutafuta maisha ulaya ni ngumu sana labda uende kama mkimbuz(asylums)

Utaratibu wa kwenda Canada kutafuta kazi ni ngumu sana ukizingatia huna pesa,hujui kizungu na huna the needed skills,Canada hata dactari au engeneer aliyegraduate Africa apart from S.Africa ni ngumu sana kupata visa ya aina yeyote

Ushauri wangu kwa ww ni unskilled worker so sehemu ya ww kujarib maisha yako ni gulf countries na Turkey like,Dubai,Oman,Kuwait,Qatar etc

Anda mtaji wa kutosha kwa safar yako at least 3ml
Tafuta passport
Check afya yako HIV status ,TB& hepatitis C
Police clearance
Attestation of your certicates to ministry of education

Have a good luck
 
Nchi ulizo zitaja ni ngumu sana kupata visa sio tu visa ya kufanya kazi Bali hata tourist or visiting visa
Kwa sasa kwenda kutafuta maisha ulaya ni ngumu sana labda uende kama mkimbuz(asylums)

Utaratibu wa kwenda Canada kutafuta kazi ni ngumu sana ukizingatia huna pesa,hujui kizungu na huna the needed skills,Canada hata dactari au engeneer aliyegraduate Africa apart from S.Africa ni ngumu sana kupata visa ya aina yeyote

Ushauri wangu kwa ww ni unskilled worker so sehemu ya ww kujarib maisha yako ni gulf countries na Turkey like,Dubai,Oman,Kuwait,Qatar etc

Anda mtaji wa kutosha kwa safar yako at least 3ml
Tafuta passport
Check afya yako HIV status ,TB& hepatitis C
Police clearance
Attestation of your certicates to ministry of education

Have a good luck
Nishauri but usinijibie that Sina pesa ,,sijui kizungu unskilled labour are u real sure that I am unskilled labour ? I got money for visa Ila changamoto ni taratibu za kuipata Hadi niwe na mtu anifanyie process ya invitation letter that's all ...I can operate forklift , I can make land survey using differents intruments bro which skills do they want Hadi tukahofia kwenda ng'ambo ?
 
Nishauri but usinijibie that Sina pesa ,,sijui kizungu unskilled labour are u real sure that I am unskilled labour ? I got money for visa Ila changamoto ni taratibu za kuipata Hadi niwe na mtu anifanyie process ya invitation letter that's all ...I can operate forklift , I can make land survey using differents intruments bro which skills do they want Hadi tukahofia kwenda ng'ambo ?
Huo ushauri aliokupa jamaa ndo ushauri wa kuufuata. Achana na mambo za kusema una nauli, na ela yako ya Visa italiwa na hautopata ..kama upo makini anzia hizo nchi za kiarabu then jichange za kutosha ndipo uombe kwenda huko Canada na Sweden.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Nishauri but usinijibie that Sina pesa ,,sijui kizungu unskilled labour are u real sure that I am unskilled labour ? I got money for visa Ila changamoto ni taratibu za kuipata Hadi niwe na mtu anifanyie process ya invitation letter that's all ...I can operate forklift , I can make land survey using differents intruments bro which skills do they want Hadi tukahofia kwenda ng'ambo ?
Pia lazima utambue ya kuwa hiyo visa unayosema haiwezi kukusaidia wewe kupata kazi, utakuwa umeenda tu kutembea ili kufanya kazi unahitaji uwe na residence permit au work permit vitu ambavyo kuvipata ni process ndio maana mwanzoni nilikwambia omba kusoma kwanza

Ili upate work permit itakubidi uwe umepata kazi kabla ya kuomba kibali hicho, hiyo sehemu uliyopata kazi itakubidi wakutumie barua ya uthibitisho nk na embassy wataverify taarifa hizi sio kwamba wataamini tu bila kuwasiliana na hiyo kampuni iliyodai inataka kukuajiri,

Njia nyingine ya 2 ambayo ni rahisi, inakubidi utafute mwenza nchi husika, kisha nenda kama unamfata mwenza wako, hapo utapewa residence permit labda ya mwaka mmoja au miwili, ikiisha utaongeza, wakati huokama nchi uliyoenda hawazungumzi kingereza mfano labda umeenda Sweden, German nk itakubidi uanze kusomea lugha ya nchi husika kwa miezi 6, baada ya hapo unaweza kutafuta kazi kwa masaa walau 4 kisha mengine utaendelea kusoma mpaka utakapofikia unapotaka ndio utaongeza muda wa masaa ya kufanya kazi,

Kwa uzoefu wangu mambo hayo mawili ndio yanayoweza kukufikisha sehemu husika bila usumbufu, shule au ndoa,
Sababu hizo visa za kutembea miezi 3-6 utaishia kupiga picha kwenye madaraja tu mkuu na kurudi nyumbani mara visa itakapoisha muda wake bila kutimiza malengo.
 
Back
Top Bottom