Kwa muda wa miaka minne nimekaa na tatizo hili sasa ninadhani ni wakati muafaka wa kuomba ushauri!!
Mimi ninafanya kazi inayoniingizia kwa mwezi sh.700,000/= tasilimu.Sijajenga nyumba ila nina uwanja.
Naombeni ushauri namna ya kupanga bajeti na kuiishi.Nipo jijini Mbeya.
Nimepanga ninalipa sh.100000/= kama kodi ya nyumba kwa mwezi.Kazi ninayofanya inaniacha huru jumamosi na jumapili tu.
Nina mke na watoto wawili.Ingawa siishi nao ila nina wadogo zangu 4 wananitegemea pamoja na mama yangu!Kwa miaka hiyo nimekuwa kama ninapigamarktime!
Bila kusonga mbele.NISAIDIENI NAMNA YA KUPANGA BAJETI NA KUIFUATA!!!!!
Mimi ninafanya kazi inayoniingizia kwa mwezi sh.700,000/= tasilimu.Sijajenga nyumba ila nina uwanja.
Naombeni ushauri namna ya kupanga bajeti na kuiishi.Nipo jijini Mbeya.
Nimepanga ninalipa sh.100000/= kama kodi ya nyumba kwa mwezi.Kazi ninayofanya inaniacha huru jumamosi na jumapili tu.
Nina mke na watoto wawili.Ingawa siishi nao ila nina wadogo zangu 4 wananitegemea pamoja na mama yangu!Kwa miaka hiyo nimekuwa kama ninapigamarktime!
Bila kusonga mbele.NISAIDIENI NAMNA YA KUPANGA BAJETI NA KUIFUATA!!!!!