Kaka yangu anayeishi Tabora yuko kwenye ndoa kwa miaka 10 sasa!
Mwaka jana alifanikiwa kuongeza biashara zake!Tatizo linaloisumbua familia ni kuwa kila kipato kilipokuwa kikiongezeka na tabia ya shemeji imebadilika sana!Heshima hakuna tena!Kaka anapigwa na mkewe Kama mtoto!
Ndani hakuna amani!Shemeji amekuwa akitishia kuwa akiachwa tu lazima Mali igawanywe pasu kwa pasu!Ameshajiunga na kwenye umoja eti wa kutetea haki za wanawake!Ninaomba wanasheria mnijuze hivi "haki" za mume kwenye ndoa ni zipi?
Tumeshakaa sana vikao vya kusuluhisha vinavunjwa na shemeji kwa kukosa nidhamu!Msaada wadau ni kitu serious!Tumejaribu kumshauri kaka aende hata kuripoti Polisi hasa anapopigwa lakini sijui kuna shida gani hapo maana anaona "aibu"
Mwaka jana alifanikiwa kuongeza biashara zake!Tatizo linaloisumbua familia ni kuwa kila kipato kilipokuwa kikiongezeka na tabia ya shemeji imebadilika sana!Heshima hakuna tena!Kaka anapigwa na mkewe Kama mtoto!
Ndani hakuna amani!Shemeji amekuwa akitishia kuwa akiachwa tu lazima Mali igawanywe pasu kwa pasu!Ameshajiunga na kwenye umoja eti wa kutetea haki za wanawake!Ninaomba wanasheria mnijuze hivi "haki" za mume kwenye ndoa ni zipi?
Tumeshakaa sana vikao vya kusuluhisha vinavunjwa na shemeji kwa kukosa nidhamu!Msaada wadau ni kitu serious!Tumejaribu kumshauri kaka aende hata kuripoti Polisi hasa anapopigwa lakini sijui kuna shida gani hapo maana anaona "aibu"