happy amos
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 251
- 434
Naomben ushaur kwenye hili...
Mi nimama wa mtoto / single mama nina 30yrs
Naomben ushauri kuna baba ana 38yrs anataka kunioa anawatoto wakiume 2 mmoja na 11yrs mwingine 8yrs...
Kilichofanya niombe ushauri jamaa hana hisia na Mimi na Mimi pia yaan sina hisia nae yaan tumekutana tu yeye anashida na kuoa nami naitaji kuolewa basi lkn hata mapenz hakuna kabisa maana tunaweza maliza hata wk hatuja wasiliana...
Napata wakati mgum sababu jamaa anaharaka sana anadai watoto wake hawana mlezi na anapata shida akitaka kusafir maana ni mfanya biashara,, Mimi nimemwambia angalau tupeane mda tusomane kwanza haelewi kabisa imagine tumefahamiana tuna mwez 1.. Lkn anataka tuanze process za utambulisho...
Aliachana na mke wake wa ndoa 2yrs ago na mke wake alishaolewa kwingine na hajulikan hata yuko wapi na alifunga ndoa ya kikristo..naomben ushauri nifanyeje?
Mi nimama wa mtoto / single mama nina 30yrs
Naomben ushauri kuna baba ana 38yrs anataka kunioa anawatoto wakiume 2 mmoja na 11yrs mwingine 8yrs...
Kilichofanya niombe ushauri jamaa hana hisia na Mimi na Mimi pia yaan sina hisia nae yaan tumekutana tu yeye anashida na kuoa nami naitaji kuolewa basi lkn hata mapenz hakuna kabisa maana tunaweza maliza hata wk hatuja wasiliana...
Napata wakati mgum sababu jamaa anaharaka sana anadai watoto wake hawana mlezi na anapata shida akitaka kusafir maana ni mfanya biashara,, Mimi nimemwambia angalau tupeane mda tusomane kwanza haelewi kabisa imagine tumefahamiana tuna mwez 1.. Lkn anataka tuanze process za utambulisho...
Aliachana na mke wake wa ndoa 2yrs ago na mke wake alishaolewa kwingine na hajulikan hata yuko wapi na alifunga ndoa ya kikristo..naomben ushauri nifanyeje?