katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,083
- 5,659
Niko njipanda unataka ukapange chumba uishi mwenyewe au ulikuwa uko na mtu unataka uwe single kwa mudaMimi ni mdada na kazi yangu na maisha yangu, nimekuja kuomba ushauri jinsi ya kuweza kuishi single maana mchumba niliyekuwa naye ameniumiza.
Nataka nianze kuwa single, niishi vipi mpaka nimsahau kabisa na maisha yaendelee?