we jamaaUkiwa single unalala na chupi usiku. Usisahau hilo muhimu sana.
Hata akilala na track suit hakuna shida.Ukiwa single unalala na chupi usiku. Usisahau hilo muhimu sana. 😜
Aliyekubuhu kuwa single mujini anaitwa BIKRA kama hakuna chochote kinachoendelea kule kwenye utamu. 😜
Nahisi nishakubuhu kuwa single, kwa maelezo yako.
Tafuta plan B itakayokuondolea upweke.. Lakini isiwe vilevi.. Na jioni nenda kapoteze muda gymMimi ni mdada na kazi yangu na maisha yangu, nimekuja kuomba ushauri jinsi ya kuweza kuishi single maana mchumba niliyekuwa naye ameniumiza.
Nataka nianze kuwa single, niishi vipi mpaka nimsahau kabisa na maisha yaendelee?