Naombeni ushauri: Je, nimuache binti niliyezaa naye ili niwe na binti niliyekuwa naye kwenye mahusiano tangu chuo?

Kale ka wimbo ka shetani na mama mkweee wake wamenikalia; we kanyaga twende ushalikoroga huna budi kulinywaa.

Anyway mtoto wa mwenzio mwone ka mtoto wako, maamuzi ya mwisho ni yako na si vinginevyo.
 
Tumia akili kulishinda Hilo kwan kwa upande wangu naona kosa ni lako. Ukioa acha ujana, mapichapicha yako ya kale yafute vinginevyo utakuw umenogewa na papuchi za kale.
Kama umenielewa vyema, nimezaa nae ila sikuwahi zifahamu tabia zake hapo awali maan sikukaa muda sana nikawa naishi nae ndani kabsa, ana kiburi sana, Hana heshima Kwa mmewe na mambo mengine mengi ya ndani zaidi .. nafikiri unaelewa mke inabdi afanye Nini Kwa mmewe.

Hilo pia linanipa changamoto sana , na mtoto siwez mwacha alelewe na mama pekee utata wa maamuzi unakuwa hapo.
 
Yani kwa ufupi ulibadili ladha kutoka cha zamani kuingia kipya.

Vijana usikae na mtu mkawa mnafanya mapenzi mnadanganyana eti uchumba mtachokana sana na mwisho wa siku mmoja akipata mpya huwa imeisha.
 
Labda wa pili hukumpenda sana na uliamua kuwa nae tu kwa sababu ya kumuonea huruma hali ngumu kwao na kwa sababu ya mtoto.

Huyo wa mwanzo ni kama muelewa zaidi,maana kusamehe uliyomtendea na akakubali muanze upya si jambo rahisi.

Hiyo dalili ya kutaka kuondoka na mtoto kisa tu kaona mambo ya nyuma si nzuri,na ni kama ishara ambayo umeoneshwa ili ujue uhalisia wake.

Omba msamaha kwa wa kwanza,kwa uliyomtendea,aponye nafsi yake maana hujui ya BAADAE.Tengeneza na wa pili ili aone kuwa hakuna utofauti kati yenu kwa usalama wa mwanao.Kama unaweza kuweka distance kati yenu(na wa pili) ingefaa upate wakati wa kuyatafakari upya maamuzi uliyoyafanya bila kutafakari vya kutosha
...utapata jibu sahihi zaidi na utajua cha kufanya.
 
Habari ya muda huu wanajf.

Mwaka 20×× nilipojiunga na Chuo kikuu nilibahatika kuwa na Binti katika mahusiano na tukadumu mpaka namaliza Chuo na kufikia hatua huyo Binti nilimtambulisha nyumbani Kwa wazazi....
Anyway hayo ya ndoa MI HUWA HAYANIHISU.

Nina swali?

Ukiwa China unasoma Postgraduate unaweza kufanya Kazi?

Yaani unaweza kwenda kusoma halafu ukarudi na mpunga mwingii wa madili ya nje ya chuo na huku chuo masomo yakaenda vizuri?

#YNWA
 
Labda wa pili hukumpenda sana na uliamua kuwa nae tu kwa sababu ya kumuonea huruma hali ngumu kwao na kwa sababu ya mtoto.

Huyo wa mwanzo ni kama muelewa zaidi,maana kusamehe uliyomtendea na akakubali muanze upya si jambo rahisi.

Hiyo dalili ya kutaka kuondoka na mtoto kisa tu kaona mambo ya nyuma si nzuri,na ni kama ishara ambayo umeoneshwa ili ujue uhalisia wake.

Omba msamaha kwa wa kwanza,kwa uliyomtendea,aponye nafsi yake maana hujui ya BAADAE.Tengeneza na wa pili ili aone kuwa hakuna utofauti kati yenu kwa usalama wa mwanao.Kama unaweza kuweka distance kati yenu(na wa pili) ingefaa upate wakati wa kuyatafakari upya maamuzi uliyoyafanya bila kutafakari vya kutosha
...utapata jibu sahihi zaidi na utajua cha kufanya.
Asante Sana Kwa mawazo yako Bora nitayafanyia kazi ..
 
Waache wote, hudumia mtoto akifikisha umri wa kusoma ukamchukue uishi nae..
Maana
1. Wa kwanza unampenda ila huna bahati nae.
2. Wa mtoto huna upendo nae.
Yaani kama upo kichwani mwangu kabsa , sema tatizo linakuja wapi, anadai kwamba hatokaa nimwone Wala mtoto kumwona ndio itakuwa Mwish japo ukweni nakufahamu.. Kwa huyu Binti, anadai hata nyumbani hatokaa.
 
Anyway hayo ya ndoa MI HUWA HAYANIHISU.

Nina swali?

Ukiwa China unasoma Postgraduate unaweza kufanya Kazi?
Yaani unaweza kwenda kusoma halafu ukarudi na mpunga mwingii wa madili ya nje ya chuo na huku chuo masomo yakaenda vizuri??

#YNWA
Ndio it's guaranteed 80% kufanya hivo, Mimi nilikuwa multtask kbs muda wote busy, na muda wa kuwa shuleni apo ni mdogo tu sana sana research hizo ndio zinachukua muda wako.
 
Kama umenielewa vyema, nimezaa nae ila sikuwahi zifahamu tabia zake hapo awali maan sikukaa muda sana nikawa naishi nae ndani kabsa, ana kiburi sana, Hana heshima Kwa mmewe na mambo mengine mengi ya ndani zaidi .. nafikiri unaelewa mke inabdi afanye Nini Kwa mmewe

Hilo pia linanipa changamoto sana , na mtoto siwez mwacha alelewe na mama pekee utata wa maamuzi unakuwa hapo.
Unajuaje kama huyu wa chuo ana heshima na hana kiburi ukiishi nae?
 
Back
Top Bottom