Sijaona sehem unesema mpenzi wako wako wa chuo ana mapungufu yoyote,au amewahi hata kuhisi vitu tofauti,pamoja na wewe kuwa matured enough bado unashindwa kutoa maamuzi juu ya mahusiona yakoHabari ya muda huu wanajf.
Mwaka 20×× nilipojiunga na Chuo kikuu nilibahatika kuwa na Binti katika mahusiano na tukadumu mpaka namaliza Chuo na kufikia hatua huyo Binti nilimtambulisha nyumbani Kwa wazazi....
Wanaume tunakosea sana kusema unapenda mwanao na haupo tayari mtoto kukosa malezi yako,wewe na mama mzazi wa mtoto nani anatakiwa angalie malezi ya mtoto,nani mwenye uchungu na mtoto,nani anajua ukweli wa baba wa mtoto majibu yote anayo mwanamkeHabari ya muda huu wanajf.
Mwaka 20×× nilipojiunga na Chuo kikuu nilibahatika kuwa na Binti katika mahusiano na tukadumu mpaka namaliza Chuo na kufikia hatua huyo Binti nilimtambulisha nyumbani Kwa wazazi...
Nimeupenda mchango wako.Sijaona sehem unesema mpenzi wako wako wa chuo ana mapungufu yoyote,au amewahi hata kuhisi vitu tofauti,pamoja na wewe kuwa matured enough bado unashindwa kutoa maamuzi juu ya mahusiona yako...
Mtoto ni wangu Hilo halina utata kabisa.Wanaume tunakosea sana kusema unapenda mwanao na haupo tayari mtoto kukosa malezi yako,wewe na mama mzazi wa mtoto nani anatakiwa angalie malezi ya mtoto,nani mwenye uchungu na mtoto,nani anajua ukweli wa baba wa mtoto majibu yote anayo mwanamke
Oh... Iko hiviSijaona sehem unesema mpenzi wako wako wa chuo ana mapungufu yoyote,au amewahi hata kuhisi vitu tofauti,pamoja na wewe kuwa matured enough bado unashindwa kutoa maamuzi juu ya mahusiona yako...
Ka moyo kako kanpenda nani? Sema ukweli? Nani kati yao ukiwa nae unapata furaha? Jibu nikushauri bila unafikiHabari ya muda huu wanaJF
Mwaka 20×× nilipojiunga na Chuo kikuu nilibahatika kuwa na Binti katika mahusiano na tukadumu mpaka namaliza Chuo na kufikia hatua huyo Binti nilimtambulisha nyumbani Kwa wazazi...
Kuzaa na mtu sio kua ety lazima umuoe.... We fanya jinsi moyo wako unasema.Habari ya muda huu wanaJF
Mwaka 20×× nilipojiunga na Chuo kikuu nilibahatika kuwa na Binti katika mahusiano na tukadumu mpaka namaliza Chuo na kufikia hatua huyo Binti nilimtambulisha nyumbani Kwa wazazi...