Wa kusoma
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,454
- 2,975
- Thread starter
- #21
hongera sana mkuu, nisalimie familia!
Usijali mkuu nadhani wife atafurahi sana nikimwambia kuna salamamu kutoka JF, anaijua sana kwani mara nyingi ananiambia unafanya nini muda huo wote kwenye PC au CM?
Ikabidi nimweleze ukweli asije kudhani ninachart na wezi wa ndoa yake.
Kuanzia hapo akiniona nimetulia anajua niko huku.
Mara nyingi huwa nikipanda kule JOKES na MMU ananiomba achungulie au nimhadithie.
Na huwa sio mara moja kuniuliza vipi leo kuna jipya gani hujo JF?
Atafurahi sana kupata salamu zenu na hongera zenu.
Asanteni sana wadau.