GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,795
Nilidhani Fimbo zangu za Kiserikali / Za Wastani ambazo ni Nne ( 4 ) pekee zingekuwa ni sehemu ya Kumbadilisha Mtoto ila nimegundua ya kwamba hizo ' Bakora ' za Kiserikali hazisaidii kabisa ' Kumuadabisha ' Mtoto hivyo sasa nataka Msaada wenu wa aina ya Adhabu ' Kali ' zaidi za Kumpa Mtoto ili hata ikitokea akiwa anakuona tu popote aanze Kujisikia ' Maumivu ' na kuwa Mpole upesi
Nitashukuru sana kama wale Askari Magereza ( MK ) na wale Polisi Jeshi ( MP ) ambao najua Elimu ya Kutoa Adhabu ni sehemu ya Maisha yenu basi mkanisaidia nazo ili ikiwezekana kuanzia leo nianze ' Kumnyoosha ' nazo Mtoto wangu ili hata akikua mkubwa ajue kuwa ' Mshua ' wake nimembadili na aje kuwa Mtoto mwema kwa Taifa letu hili la Tanzania.
Nataka tu zile Adhabu ambazo hata Wanajeshi au Wafungwa huwa wanapewa ili nianze nazo kwake huyu Mtoto na nipumzike sasa na hivi Viboko.
Nitawashukuruni!
Nitashukuru sana kama wale Askari Magereza ( MK ) na wale Polisi Jeshi ( MP ) ambao najua Elimu ya Kutoa Adhabu ni sehemu ya Maisha yenu basi mkanisaidia nazo ili ikiwezekana kuanzia leo nianze ' Kumnyoosha ' nazo Mtoto wangu ili hata akikua mkubwa ajue kuwa ' Mshua ' wake nimembadili na aje kuwa Mtoto mwema kwa Taifa letu hili la Tanzania.
Nataka tu zile Adhabu ambazo hata Wanajeshi au Wafungwa huwa wanapewa ili nianze nazo kwake huyu Mtoto na nipumzike sasa na hivi Viboko.
Nitawashukuruni!