Naombeni Msaada wenu

Yusuph Salehe

Member
Nov 12, 2010
58
1
Rafiki yangu anatatizo la kupiga punyeto yaani anadai hayawezi kupita masaa sita hajapiga punyeto naombeni ushauri nimuambie madhara yake, na afanye nini kuepukana na tatizo hilo. Ahsante
 
1) Madhara ya kupiga Punyeto kutakuletea Madhara baadae kama Kutokuja kufurahia Tendo la ndoa na Mpenzi wako. Hamu ya kufanya mapenzi itapungua halafu Unaweza kutochukua muda Mrefu kufanya mapenzi shahawa zako kutoka kwa haraka (Premature ejaculation)

2) Ata perfomance kiusomaji itashuka kwani kuendelea kupiga Punyeto kunaharibu mtu Kisaikolojia.

3) Maradhi ni rahisi kukupata kama Kansa ya Korodani (prostate cancer) kwani unakua unaingiza idadi kubwa ya vitu visivvo hitajika katika uume (carcinogens).


Punyeto
Ni nini?
Kufanya au kupiga punyeto, ni tendo la kutomasa sehemu zako mwenyewe za siri ili kujisisimua kimapenzi.
Kwa hivyo katika kupiga punyeto hamna hofu ya kuambukizwa magonjwa yanayosambazwa kupitia ngono, kwani haimshirikishi mtu mwengine.
Punyeto ni toshelezo kamili la kimapenzi kama utatumia njia mbali mbali za kujitomosa na kujipa papasa ya kujistarehesha.
Hakuna mtu anayezaliwa akijua jinsi mwili wake unavyoitikia msisimko wa kimapenzi. Inakubidi kujifunza kwa majaribio salama.
Na, kwa vile kila mtu yuko tofauti, njia nyengine ya kujua jinsi unavyoweza kumstarehesha mpenzi wako, ni kujifunza kutoka kwako mwenyewe.

Shughulika zaidi na sehemu ambazo zinasisimka kwa urahisi.

Unaweza kufikia kilele cha starehe yako kwa kuitomasa tomasa mboo au kisimi, lakini kutakupa hamu kubwa na ashiki, na kufikia kutoshelezwa vya kutosha, kama utapapasa pia sehemu nyenginezo za mwili wako.

Kwa nini punyeto huonekana kuwa makosa?

Msimamo wa dini nyingi na watu wengi ni kuwa punyeto ni dhambi, mwiko, jambo lililokatazwa, jambo lisilokubalika kabisa.
Lakini wanasanyansi wanasema ni jambo salama kiafya na dhana zilizopo kulihusu, ni imani za kibinafsi na chaguo la mtu.
Wanaume wengi na wanawake hupiga punyeto maishani mwao, kwa sababu huwafanya wakajisikia vizuri na huondoa dhiki za mihemko ya kimapenzi bila kujiingiza katika ngono na mtu mwengine.
Pia hofu ya kuambukizwa magonjwa ya zinaa, ikiwemo virusi vya HIV ni kichocheo tosha kinachopelekea baadhi ya watu kupiga punyeto.
 
1) Madhara ya kupiga Punyeto kutakuletea Madhara baadae kama Kutokuja kufurahia Tendo la ndoa na Mpenzi wako. Hamu ya kufanya mapenzi itapungua halafu Unaweza kutochukua muda Mrefu kufanya mapenzi shahawa zako kutoka kwa haraka (Premature ejaculation)

2) Ata perfomance kiusomaji itashuka kwani kuendelea kupiga Punyeto kunaharibu mtu Kisaikolojia.

3) Maradhi ni rahisi kukupata kama Kansa ya Korodani (prostate cancer) kwani unakua unaingiza idadi kubwa ya vitu visivvo hitajika katika uume (carcinogens).


Punyeto
Ni nini?
Kufanya au kupiga punyeto, ni tendo la kutomasa sehemu zako mwenyewe za siri ili kujisisimua kimapenzi.
Kwa hivyo katika kupiga punyeto hamna hofu ya kuambukizwa magonjwa yanayosambazwa kupitia ngono, kwani haimshirikishi mtu mwengine.
Punyeto ni toshelezo kamili la kimapenzi kama utatumia njia mbali mbali za kujitomosa na kujipa papasa ya kujistarehesha.
Hakuna mtu anayezaliwa akijua jinsi mwili wake unavyoitikia msisimko wa kimapenzi. Inakubidi kujifunza kwa majaribio salama.
Na, kwa vile kila mtu yuko tofauti, njia nyengine ya kujua jinsi unavyoweza kumstarehesha mpenzi wako, ni kujifunza kutoka kwako mwenyewe.

Shughulika zaidi na sehemu ambazo zinasisimka kwa urahisi.

Unaweza kufikia kilele cha starehe yako kwa kuitomasa tomasa mboo au kisimi, lakini kutakupa hamu kubwa na ashiki, na kufikia kutoshelezwa vya kutosha, kama utapapasa pia sehemu nyenginezo za mwili wako.

Kwa nini punyeto huonekana kuwa makosa?

Msimamo wa dini nyingi na watu wengi ni kuwa punyeto ni dhambi, mwiko, jambo lililokatazwa, jambo lisilokubalika kabisa.
Lakini wanasanyansi wanasema ni jambo salama kiafya na dhana zilizopo kulihusu, ni imani za kibinafsi na chaguo la mtu.
Wanaume wengi na wanawake hupiga punyeto maishani mwao, kwa sababu huwafanya wakajisikia vizuri na huondoa dhiki za mihemko ya kimapenzi bila kujiingiza katika ngono na mtu mwengine.
Pia hofu ya kuambukizwa magonjwa ya zinaa, ikiwemo virusi vya HIV ni kichocheo tosha kinachopelekea baadhi ya watu kupiga punyeto.

nimekukubali Doc. hapa nimejifunza mengi, nitaenda kuelimisha rika, nawajuwa wengi sana wenye hili tatizo
 
Back
Top Bottom