Naombeni msaada wenu wakimawazo wanajf wenzangu....... Ndugu hawa

Kisheria Mama Huyo baba yako na hao wanae awatakiwi kugusa hata sent moja ya marehemu baba yako kwani binadamu wote ni sawa na hakuna wa kike au wa kiume wote ni watoto hivyo hata wewe ni mtoto na unatakiwa kurithi mali zote za marehemu baba yako. Habari ndio hiyo na wakileta ujinga nenda TAMWA wakupe msaada wa kisheria mama. Choa have a ni day wasikupe presha mtoto wa kike tulia.

Avatar ya yako mkuu, mie bin hoi:focus:
 
Back
Top Bottom