Naombeni msaada wenu jamani

Nurujamii

JF-Expert Member
Jun 14, 2007
414
15
Ninapiga simu sana kutoka hapa USA kwenda Tanzania miaka miwili na ushei hivi. Najaribu kupata cheap phone cards lakini naona kila nipatapo kampuni mpya nazidi kuumia tu. Kadi zote nilizowahi kutumia gharama ziko juu sana. Can anyone advise me on which company should i start buying my cheap cards from? Najua wazoefu mtanisaidia. Thanks in advance!
 
Back
Top Bottom