Nitatoa story kwa ufupi ilivyokua, nilimkopea mtu pesa kwenye kikundi zaidi ya milioni kumi, baadae akakimbia na ndugu zake wakaahidi kulipa kwa kusema kuwa Mimi nilipe huko kikundini then wao watalipa ila tuwape muda. Nikajilipia lile deni na tukawapa mwaka mzima walipe. Mwaka ukakata siku ya makubaliano ikafika hawakulipa.
Tukaenda mahakamani wakakataa kuwa siwadai wao ila ndugu yao na hawajui alipo nadhani na rushwa ikatembea wakashinda kesi kwa point kuwa wao si wadaiwa halisi.
Je, naweza kumfungulia huyo aliyetoroka kesi ya wizi wa kuaminika na nikawabana ndugu zake wamfichue alipo coz wanamficha?
Naombeni ushauri wowote au msaada. Nipo Arusha
Tukaenda mahakamani wakakataa kuwa siwadai wao ila ndugu yao na hawajui alipo nadhani na rushwa ikatembea wakashinda kesi kwa point kuwa wao si wadaiwa halisi.
Je, naweza kumfungulia huyo aliyetoroka kesi ya wizi wa kuaminika na nikawabana ndugu zake wamfichue alipo coz wanamficha?
Naombeni ushauri wowote au msaada. Nipo Arusha