mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 7,658
- 9,761
Kudadeki chezea wachaga wewe wamepiga chenga ya mwiliNdio na ushahidi tuliupeleka wakasema walisign tu ili nisijidhuru.
Kudadeki chezea wachaga wewe wamepiga chenga ya mwiliNdio na ushahidi tuliupeleka wakasema walisign tu ili nisijidhuru.
Dah huyo jamaa anaonekana ni tapeli mzoefu.aliweka shamba lenye nyumba ambayo haijaisha kumbe akazunguka na kuiuza na kukimbia kwahiyo alikua na hati mbili moja aliyotupa na moja aliyouzia