steve_shemej
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,092
- 1,433
Nilikuwa nafuatilia cheti cha kuzaliwa nukajaza taarifa zangu kupitia mtandao wa RITA
Sehemu ya viambatanisho nimeweka kitambulisho cha mpiga kura tu kitambulisho cha nida nilikosa lakini ikalubali na imenipa control number je ombi langu kinaweza kataliwa ikiwa nimeshalipia?
Nimeuliza hivyo maan kunamtu yeye katumia barua ya mwenyekiti tu kapata cheti je Mimi? Inaweza system ikakataa?
Sehemu ya viambatanisho nimeweka kitambulisho cha mpiga kura tu kitambulisho cha nida nilikosa lakini ikalubali na imenipa control number je ombi langu kinaweza kataliwa ikiwa nimeshalipia?
Nimeuliza hivyo maan kunamtu yeye katumia barua ya mwenyekiti tu kapata cheti je Mimi? Inaweza system ikakataa?