chenjichenji
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 1,755
- 3,445
hahahahaaaa...kuna watu watanuna jamaa yangu we subiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahaaaa...kuna watu watanuna jamaa yangu we subiri
Hakika hii itakusaidia sana, imejaribiwa na kuleta matokeo ambayo nimeyashuhudia kwa karibu. Siku hizi hata tea bags za Rosella hupatikana madukani haswa kwenye supermarkets. Ndani ya wiki moja matokeo utayapata. Usisahau sala kwa Mwenyezi Mungu kwani yeye ndiye aponyaye na ndiye muumbaji pasipo yeye hata utumie nini uzima haupo.Tumia juice ya rozella its so cheap nunua Yale majani yanauzwa sokoni unachemsha kama chai yakipoa unakunywa glass Mbili kwa siku, chemsha matembele na unywe yale maji yake hata njia hii ni nzr pia
Lishe bora pekee (Balanced diet) ndio itarudisha damu kwa haraka.Naombeni msaada jamani kwa mtu anayefahamu njia bora ya asili ya kusaidia mtu kuongeza damu mwilini kwa haraka bila kutumia dawa za hospital.
Hii nayo nasikia damu inaongezeka kwa kasi ya ajabuchukua majani ya mparachichi twanga kisha tia maji na uchemshe , kunywa asubuhi na jioni, itasaidia
Mimi sifanyi chochote ila nna damu 14.7, sijui imetokana na nini?Maparachichi ni kiboko aisee, nilikuwa nakatabia ka kula parachichi kila siku asubuhi kabla sijala kitu chochote, hali hii ilipelekea kuwa na damu nyingi, pili ngozi yangu ilikuwa soft na yenye kuvutia sana
JUISI YA SPINACH AU BEET LEAVES MAJANI MA 2 TU KWA SIKU MUDA WA SIKU 3 UTAKUWA NA DAMU YA KUTOSHANaombeni msaada jamani kwa mtu anayefahamu njia bora ya asili ya kusaidia mtu kuongeza damu mwilini kwa haraka bila kutumia dawa za hospital.
Tumia supu ya matembeleNaombeni msaada jamani kwa mtu anayefahamu njia bora ya asili ya kusaidia mtu kuongeza damu mwilini kwa haraka bila kutumia dawa za hospital.
Tafuta kinywaji linafugwa Ribena kizuri sananimetoka kupima damu jana nina 9.8 gldl, ni kiwango kidogo sana karibia kupata anaemia, nimeshauliwa kula vyakula vya kungeza damu. nafurahi kuona nimegoogle nikaupata uzi huu, shukrani kwa wachangiaji wote, hakika mmetusaidia!
Tafuta mti unao itwa "Mpambawake" Ni tiba nzuriNaombeni msaada jamani kwa mtu anayefahamu njia bora ya asili ya kusaidia mtu kuongeza damu mwilini kwa haraka bila kutumia dawa za hospital.
Kamata castle lager sekunde tu damu debeNaombeni msaada jamani kwa mtu anayefahamu njia bora ya asili ya kusaidia mtu kuongeza damu mwilini kwa haraka bila kutumia dawa za hospital.
nimetoka kupima damu jana nina 9.8 gldl, ni kiwango kidogo sana karibia kupata anaemia, nimeshauliwa kula vyakula vya kungeza damu. nafurahi kuona nimegoogle nikaupata uzi huu, shukrani kwa wachangiaji wote, hakika mmetusaidia!