pakamwam
JF-Expert Member
- May 28, 2013
- 516
- 651
habari za mchana .
moja kwa moja kwenye maada. Nina ndugu yangu ambaye alikuwa naendelea vizuri sana kimaisha. alifanikiwa kujenga nyumba ya ghorofa moja na nyumba nzuri Mbeya, Arusha na Dar es salaam. Ni mtu mwenye mke msomi ambaye naye ni mfanya kazi pia
Cha ajabu kaka yangu kaacha kazi ghafra na kujiingiza kwenye biashara ya kutafuta hela ya zamani kama rupia na hela za mjerumani.
Kaka kaacha familia na hata hajui kitu kuhusu ada za watoto mpaka tumeamua kuwatoa shule za kati yaani english medium na kuwapeleka shule za serikali za kawaida na sasa kajiingiza kwenye madeni kiasi cha kufikia hata kuuza nyumba baadhi na gari.
Najaribu kumshauri aachane na biashara hiyo anakomaa kuwa ni maisha yake so tumuache
Wasi wasi wangu ni juu ya watoto maana hata upendo wake umepungua kwa watoto. Huyu kaka yangu inaonyesha kuna mtu kadhibiti akili yake asilimia 100 kiasi kwamba hata akimwambia atoe kafara watoto anaweza.
huwa mara nyingine anakuja na vitu vya ajabu sana ambavyo naona hata aibu kuvisema na anapewa masharti makali mno
mimi naona ni utapeli wa kiasi kikubwa na ushirikina. Huu ni Mtazamo wangu.
Naombeni msaada wenu na uzoefu wenu kwenye hili wana jukwaa. ninaamini kwa uwingi wetu hapa hakuna la kushindikana.
mnisamehe kama sijajieleza vizuri ila nahitaji msaada wenu sana maana kuna maisha ya watoto watano na mimi ni mdogo mtu huu mzigo ni mzito kama kaka atakufa. Napenda nimuone anafanikiwa na nikiri tu hata mimi kaniasaidia sana. Nahisi kwa dhati kabisa nina deni la kumsaidia hasa kipindi hiki na ahata akifa nawajibika kwa watoto moja kwa moja ambao bado ni wadogo na wengie hata shule bado. lakini sijui hata mahali pa kuanzaia maana ukimfuatilia anakuwa mkali sana
amefikia mahali pa kuuza hata vifaa visivyozidi milioni moja kitu ambacho sijawahi kukiona toka utoto wetu. ni msomi aliyezunguka nchi nyingi ikiwemo ulaya na amerika na hata unapomwambia anakwambia yeye anaijua dunia kwa hiyo tumuache
asanteni sana
moja kwa moja kwenye maada. Nina ndugu yangu ambaye alikuwa naendelea vizuri sana kimaisha. alifanikiwa kujenga nyumba ya ghorofa moja na nyumba nzuri Mbeya, Arusha na Dar es salaam. Ni mtu mwenye mke msomi ambaye naye ni mfanya kazi pia
Cha ajabu kaka yangu kaacha kazi ghafra na kujiingiza kwenye biashara ya kutafuta hela ya zamani kama rupia na hela za mjerumani.
Kaka kaacha familia na hata hajui kitu kuhusu ada za watoto mpaka tumeamua kuwatoa shule za kati yaani english medium na kuwapeleka shule za serikali za kawaida na sasa kajiingiza kwenye madeni kiasi cha kufikia hata kuuza nyumba baadhi na gari.
Najaribu kumshauri aachane na biashara hiyo anakomaa kuwa ni maisha yake so tumuache
Wasi wasi wangu ni juu ya watoto maana hata upendo wake umepungua kwa watoto. Huyu kaka yangu inaonyesha kuna mtu kadhibiti akili yake asilimia 100 kiasi kwamba hata akimwambia atoe kafara watoto anaweza.
huwa mara nyingine anakuja na vitu vya ajabu sana ambavyo naona hata aibu kuvisema na anapewa masharti makali mno
mimi naona ni utapeli wa kiasi kikubwa na ushirikina. Huu ni Mtazamo wangu.
Naombeni msaada wenu na uzoefu wenu kwenye hili wana jukwaa. ninaamini kwa uwingi wetu hapa hakuna la kushindikana.
mnisamehe kama sijajieleza vizuri ila nahitaji msaada wenu sana maana kuna maisha ya watoto watano na mimi ni mdogo mtu huu mzigo ni mzito kama kaka atakufa. Napenda nimuone anafanikiwa na nikiri tu hata mimi kaniasaidia sana. Nahisi kwa dhati kabisa nina deni la kumsaidia hasa kipindi hiki na ahata akifa nawajibika kwa watoto moja kwa moja ambao bado ni wadogo na wengie hata shule bado. lakini sijui hata mahali pa kuanzaia maana ukimfuatilia anakuwa mkali sana
amefikia mahali pa kuuza hata vifaa visivyozidi milioni moja kitu ambacho sijawahi kukiona toka utoto wetu. ni msomi aliyezunguka nchi nyingi ikiwemo ulaya na amerika na hata unapomwambia anakwambia yeye anaijua dunia kwa hiyo tumuache
asanteni sana