Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 4,975
- 9,717
Check figo
Kupungua mwili ni 80% unachokula na 20% mazoeziUnene ni dalili kuwa mwili haupati mazoezi ya kutosha, hakuna excuse Miss Natafuta fanya tizi 😊😊😊, mimi ndio usiseme ni mnene mpaka najichukia,nishafanya mazoezi weeee lakini wapi..napunguza mbili naongeza nne 😁😁😁😁😁😁🏃♀️🏃♀️🏃♀️🤨
Nisaidie mkuuKama upo very serious naweza kujaribu kukusaidia kwa dawa za kienyeji and other life styles
Nahitaji miezi 3 kufanya hio kazi. Then, promise me utakuwa balozi wa dawa zangu
Mnaniogopesha hatare looPole sana...
Jikite kwenye mazoezi or else kapime kisukari na moyo...
Nimesha kuPm...😋Sina dalili ya kidney disease bna,halafu asubuhi nikiamka niko normal
Hivi sex inasaidia??
KaribuNisaidie mkuu
Nakuja inbox
Nimesha kuPM...😋🤭Hata yangu ni mizuri pia
Nashukuru mkuuQuit the following foods
Nyama nyekundu hapa tumia samali
Ngano kwa aina zake
Pombe
Sukari
Wanga
Kula kwa wingi
Mbogamboga
Protini
Matunda kwa aina zake
Mlo wako uwe na mboga na matunda mengi kuliko chakula
Sawa mkuu nashukuruKama Ni kupunguza uzito fanya intermittent fasting.Ukiwa serious utatoka from hio 96 to 78 ndani ya miezi 3 tu.Ingia YouTube andika Dr.Jason Fang Intermittent fasting.Mimi Ni shuhuda wa hilo.
AsantePole sanaa.shida NI huo unene
Ukipunguza kilo mambo yatakaa sawa
Kama ni chronic renal failure huwezi itambua kwa physical appearance ya mkojo ko ni vyema kupima mapemaUnakojoa vizuri na una unahisi kiwango cha mkojo kina uwiana na kiwango cha vimiminika unavyokunywa?