Naombeni Msaada wa maelezo zaidi kuhusu hili tangazo la TCU

rba

Member
Oct 31, 2015
23
7
Naombeni Msaada wa maelezo zaidi.
TCU wametoa hili tangazo
Invitation to apply for recognition of prior learning (RPL) Examinations as a pre_requisite to join degree programmes into higher learning institutions for Academic year 2017/2018.

Nimesoma vizuri lakini sijaelewa hasa wanataka mtu awe na ufaulu upi na uzoefu upi.
 
Naombeni Msaada wa maelezo zaidi.
TCU wametoa hili tangazo
Invitation to apply for recognition of prior learning (RPL) Examinations as a pre_requisite to join degree programmes into higher learning institutions for Academic year 2017/2018.
Nimesoma vizuri lakini sijaelewa hasa wanataka mtu awe na ufaulu upI na uzoefu upi.
Nnavowackia watu wanasema kwamba ni mitihani wanafanya watu ambao hawajitimiza vigezo vya kuingia bachelor wanafanya mitihan yao ukifaulu unakuwa na vigezo kwa mujibu walivoeka kwaio me sielew ni watu akina nani wanaofanya hiyo mitihan mfano km wafanyakazi au waloishia form 4 au form2 sielew ila sasa mwenzangu cjui ww umeelewaje mpk ukaulizia vigezo tuanzie hapo kwanza
 
Mwenye kuelewa msaada pliz
Nnavowackia watu wanasema kwamba ni mitihani wanafanya watu ambao hawajitimiza vigezo vya kuingia bachelor wanafanya mitihan yao ukifaulu unakuwa na vigezo kwa mujibu walivoeka kwaio me sielew ni watu akina nani wanaofanya hiyo mitihan mfano km wafanyakazi au waloishia form 4 au form2 sielew ila sasa mwenzangu cjui ww umeelewaje mpk ukaulizia vigezo tuanzie hapo kwanza
 
Nnavowackia watu wanasema kwamba ni mitihani wanafanya watu ambao hawajitimiza vigezo vya kuingia bachelor wanafanya mitihan yao ukifaulu unakuwa na vigezo kwa mujibu walivoeka kwaio me sielew ni watu akina nani wanaofanya hiyo mitihan mfano km wafanyakazi au waloishia form 4 au form2 sielew ila sasa mwenzangu cjui ww umeelewaje mpk ukaulizia vigezo tuanzie hapo kwanza
Kwa hiyo itakuwa tofauti na foundation course zilizopigwa marufuku ?
 
Ni kwa watu ambao hawana vigezo vya kujiunga na elimu ya juu, kwa hiyo wanauzoefu tayari kazini na wasiku nyingi , kwahiyo wanatakiwa kwenda kuufanya huo mtihani wakifaulu wanapata cheti ambacho kinakuwezesha kuomba kuomba kozi yoyote uipendayo chuo kikuku.
Unatuma maombi TCU, ndo wanakupangia kituo cha kwenda kufanyia huo mtihani.

Vituo tayari wameshavitaja ni makumira , mzumbe, Sokoine na vinginevyo.

Tembelea mwananchi kwa ufafanuzi zaidi
 
Ni kwa watu ambao hawana vigezo vya kujiunga na elimu ya juu, kwa hiyo wanauzoefu tayari kazini na wasiku nyingi , kwahiyo wanatakiwa kwenda kuufanya huo mtihani wakifaulu wanapata cheti ambacho kinakuwezesha kuomba kuomba kozi yoyote uipendayo chuo kikuku.
Unatuma maombi TCU, ndo wanakupangia kituo cha kwenda kufanyia huo mtihani.

Vituo tayari wameshavitaja ni makumira , mzumbe, Sokoine na vinginevyo.

Tembelea mwananchi kwa ufafanuzi zaidi

Mwananchi ??
 
Back
Top Bottom