jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,128
- 8,646
Habari wana jamvi la technojia,
Nina pc yangu aina ya dell, juzi nilikuwa natumia ghafla tu ikazima na kila nikiiwasha inawaka then inaonyesha alama hyo ya taa then inazima je shida ni nini
asanten
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina pc yangu aina ya dell, juzi nilikuwa natumia ghafla tu ikazima na kila nikiiwasha inawaka then inaonyesha alama hyo ya taa then inazima je shida ni nini
asanten
Sent using Jamii Forums mobile app