The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,404
- 9,234
tafuta mkoa mwingine ila kwa dar sikushauli kwa sababu dar radio ni nyingi na frequense zimebanana sana
Mkuu hiyo peleka kijijini kwenu
Kwa mwenye kujua naomba ushauri. Nikiwaona wenye redio stations napata raha kwasababu napenda media. Je hadi kuanza matangazo yake,kituo cha redio FM mtaji wake ni sh. Ngapi?
Kwa mwenye kujua naomba ushauri. Nikiwaona wenye redio stations napata raha kwasababu napenda media. Je hadi kuanza matangazo yake,kituo cha redio FM mtaji wake ni sh. Ngapi?
Kwa mwenye kujua naomba ushauri. Nikiwaona wenye redio stations napata raha kwasababu napenda media. Je hadi kuanza matangazo yake,kituo cha redio FM mtaji wake ni sh. Ngapi?
Thread yenye majibu yako ipo hapa jf nenda new post utaiona hapo.Kwa mwenye kujua naomba ushauri. Nikiwaona wenye redio stations napata raha kwasababu napenda media. Je hadi kuanza matangazo yake,kituo cha redio FM mtaji wake ni sh. Ngapi?
Kwa mwenye kujua naomba ushauri. Nikiwaona wenye redio stations napata raha kwasababu napenda media. Je hadi kuanza matangazo yake,kituo cha redio FM mtaji wake ni sh. Ngapi?
siyo chini ya milioni 300 mkuu,. Jipange