cleokippo
JF-Expert Member
- Dec 21, 2014
- 2,072
- 1,697
Habari za usiku huu wadau, nimeandika bandiko hili ili kuomba msaada wa kisheria kwa mtu yeyote yule mwenye uwelewa wa sheria!
Mimi nina mshikaji alinipa pesa tufanye biashara fulani hivi, ile pesa kweli ikaingia kwenye biashara kwa bahati mbaya ile pesa ikakata sehemu kubwa tu.
Sasa jamaa nilipomuelekeza akawa mkali nikamwambia basi kama vipi mimi nitakulipa pesa yako, kwa kuwa pesa ilikuwa nyingi kama M 5 hivi nikalipa mpaka M 4.2 bado ananidai kama 800 hivi.
Sasa kulingana na hali halisi ya hili gonjwa jamaa anadai anataka kwenda kunifungulia kesi ya wizi wa kuaminika sasa ninavyojua mimi haya ni madai sasa kwa nn anifungulie kesi ya wizi wa kuaminika?
Sasa kisheria natokaje hapo kwenye iyo kesi ya wizi wa kuaminika!
Nisaidien tafadhali
Mimi nina mshikaji alinipa pesa tufanye biashara fulani hivi, ile pesa kweli ikaingia kwenye biashara kwa bahati mbaya ile pesa ikakata sehemu kubwa tu.
Sasa jamaa nilipomuelekeza akawa mkali nikamwambia basi kama vipi mimi nitakulipa pesa yako, kwa kuwa pesa ilikuwa nyingi kama M 5 hivi nikalipa mpaka M 4.2 bado ananidai kama 800 hivi.
Sasa kulingana na hali halisi ya hili gonjwa jamaa anadai anataka kwenda kunifungulia kesi ya wizi wa kuaminika sasa ninavyojua mimi haya ni madai sasa kwa nn anifungulie kesi ya wizi wa kuaminika?
Sasa kisheria natokaje hapo kwenye iyo kesi ya wizi wa kuaminika!
Nisaidien tafadhali