Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,305
- 8,655
Ilianza kama sehemu za mwili kuuma tu ilianza kidogo chini ya mgongo juu ya kiuono kidogo yaani maumivu yanayokuja na kuondoka baada ya kudumu kama sekunde 30-45 ivi.
Maumivu yakapanda mpaka mgongoni ikawa ndo mgongo unauma yakahamia mgongoni upande wa kulia. muda wa maumivu ni ule ule tumbo likawa linauma na kukata kwa mbali sana.
Basi sasa yale maumivu yameisha sahivi naona utofauti kwenye kinyesi, yaani kinakuwa cha kukatika katika kigumu kidogo kama cha mbuzi.
Sasa leo nmeshtuka baada ya kuangalia kinyesi na kukuta kina rangi ya kawaida na Nyeusi yaani rangi nyeusi hasa imekatiza kwenye kinyesi.
Na naona kama kuna kuna vichunusi kwa mbali kwenye uso wangu na mgongoni pia.
Nimepima vidonda vya tumbo na typhoid wakanikuta na typhoid na dozi nimemaliza.
Je wakuu hii inaweza kuwa shida gani, Naombeni Nisaidieni.
Maumivu yakapanda mpaka mgongoni ikawa ndo mgongo unauma yakahamia mgongoni upande wa kulia. muda wa maumivu ni ule ule tumbo likawa linauma na kukata kwa mbali sana.
Basi sasa yale maumivu yameisha sahivi naona utofauti kwenye kinyesi, yaani kinakuwa cha kukatika katika kigumu kidogo kama cha mbuzi.
Sasa leo nmeshtuka baada ya kuangalia kinyesi na kukuta kina rangi ya kawaida na Nyeusi yaani rangi nyeusi hasa imekatiza kwenye kinyesi.
Na naona kama kuna kuna vichunusi kwa mbali kwenye uso wangu na mgongoni pia.
Nimepima vidonda vya tumbo na typhoid wakanikuta na typhoid na dozi nimemaliza.
Je wakuu hii inaweza kuwa shida gani, Naombeni Nisaidieni.