bachelor sugu
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,689
- 3,641
- Thread starter
- #21
Wapi mkuu wanapata matibabu bure au ni ktk hospitali zote za serikali?Hata sasa sickle cell kwa mtoto au mtu asiekuwa na uwezo anatibiwa bure kabisa.
Kuna watu wa ustawi wa jamii wanathibitisha kama mgonjwa hana uwezo kisha anapata tiba bure.