Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 23,905
- 70,842
Nzuri chibonge mwepesi, umepoteaSafi..za kwako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nzuri chibonge mwepesi, umepoteaSafi..za kwako
Nipo mbonaNzuri chibonge mwepesi, umepotea
Mbaya zaidi anakiri ana nafasi ya kuweza kukabili tatizo ila anaomba msaada kwa watu mtandaoni.Huu utamaduni ulioanza kuota mizizi hapa nchini ni hatari kwa ustawi wa vizazi vijavyo mtu badala ya kutoa taarifa sehemu husika analalamika mtandaoni!
Ukweli mchungu.You're not serious Brother, choose between the two! Yaani unashindwa kunsaidia mzee kwa kutumia title yako kisa wagopa wasikujue....wewe ni mjinga na wewe ndio unamuua huyo mzee wa watu kwa maujinga yako. Heri angesomesha mbuzi muda huu angekua anakunywa supu. Umenichukiza sana au hii ni hadisi
TUMIA TU NAFASI YAKO NDUGU YANGU ILI MZEE APONE UKICHELEWA LOLOTE LIKITOKEA UTAJA JUTA SANAWapendwa Habari za jioni,Niko Muhimbili Emergency hapa nimemleta baba yangu anapata Changamoto ya upumuaji kawekewa oxygen toka saa 8 na sukari yake iko juu sana over 20 ila haijaguswa hadi muda huu.
Shida ninayopata imetokea tu bahati mbaya Manesi wamemchukia sana kiasi sijajua kwanini na nahofia wanaweza kumuua nikiondoka,Nurse aliyekuwa Day leo alimpenda sana hata pampasi alituambia tununue atamvalisha,Ila aliyeingia Night kamchukia sana hata sisi kumlisha imekuwa shida ana visirani na Mgonjwa hadi naogopa sijajua amewakosea nini wakati hata kuongea hawezi,nitamtaja jina lake baadae na vitendo anavyomfanyia na Afroking zake.
Niko kwenye wakati mgumu sana niko kwenye Taasisi ya Serikali ambayo inaweza kuinfluence nikasaidiwa haraka sana kwa maelekezo kabisa ila nahofia nikiitumia nafasi yangu watanijua na wanaweza kummaliza kwa style nyingine.
Niko kwenye wakati mgumu sana naombeni msaada,ushauri na maoni yatakayoweza kusaidia kuokoa uhai wa Mzee wangu.
Wakati wa vita ni kutumia sila zozote ulizo nazo, kwani ukimpoteza mwishowe utajutia kwa nini hukufanya, NA Tuwatunze wazee wetu tusisubiri mpka waugue, tuhakikishe wanakula vizuri na wanajikinga na haya magonjwa kabla ya kuzidiwa. pole sana.Wapendwa Habari za jioni,Niko Muhimbili Emergency hapa nimemleta baba yangu anapata Changamoto ya upumuaji kawekewa oxygen toka saa 8 na sukari yake iko juu sana over 20 ila haijaguswa hadi muda huu.
Shida ninayopata imetokea tu bahati mbaya Manesi wamemchukia sana kiasi sijajua kwanini na nahofia wanaweza kumuua nikiondoka,Nurse aliyekuwa Day leo alimpenda sana hata pampasi alituambia tununue atamvalisha,Ila aliyeingia Night kamchukia sana hata sisi kumlisha imekuwa shida ana visirani na Mgonjwa hadi naogopa sijajua amewakosea nini wakati hata kuongea hawezi,nitamtaja jina lake baadae na vitendo anavyomfanyia na Afroking zake.
Niko kwenye wakati mgumu sana niko kwenye Taasisi ya Serikali ambayo inaweza kuinfluence nikasaidiwa haraka sana kwa maelekezo kabisa ila nahofia nikiitumia nafasi yangu watanijua na wanaweza kummaliza kwa style nyingine.
Niko kwenye wakati mgumu sana naombeni msaada,ushauri na maoni yatakayoweza kusaidia kuokoa uhai wa Mzee wangu.
Tena anatuomba Msaada sisi tusio na nafasi!Mbaya zaidi anakiri ana nafasi ya kuweza kukabili tatizo ila anaomba msaada kwa watu mtandaoni.
Hapo ndpo niliposhangaa lakn angekuwa anafukuzia demu halafu anachomoa nazan angetumia mamlaka ya nafas alyonayo serikalin kumgegeda huyo manz ameniuz sana mkuuYou're not serious Brother, choose between the two! Yaani unashindwa kunsaidia mzee kwa kutumia title yako kisa wagopa wasikujue....wewe ni mjinga na wewe ndio unamuua huyo mzee wa watu kwa maujinga yako. Heri angesomesha mbuzi muda huu angekua anakunywa supu. Umenichukiza sana au hii ni hadisi
Askofu Rashidi anaziimbia mapambio.Hizi si ndio hospitali zinazosifiwa kwa huduma ! sasa fanya hivi , mhamishe huyo mzee mpeleke Agha Khan halafu tupatie jina la huyo ofisa wa hospitali mwenye chuki haraka sana tufanye kazi .
Liwalo na liwe
Awe mpole kivipi wakati huduma mbovu? Mimi hiyo ilinitokea KCMC some years back... Nilitafuta jina la yule Nesi na ushahidi mchache (nilimrekodi) then nikaenda straight kwa mkuu wao, na I was prepared to go further... Aliondolewa kumhudumia mgonjwa wangu, nikapata muuguzi mwingine very cooperative mpaka mgonjwa akapona.Kuwa.mpole kila MTU akiwa ofisini kwake anahitaj heshima na kujimwambafy ongea nae kiupole akusaidie binadamu wote wanapenda kuwa appreciated
Kabisa kula kichwa... Mpigie yule Waziri wao mwenye mbwembwe nyingi...Broo... Tumia madaraka na power yako... Kula kichwa uyo nesi... Leo baba akipona kesho kuna mtu mwingine atanyanyaswa.. Kula kichwa iko kaka... Tafadhali sana..
pole sana mkuuWapendwa Habari za jioni,
Niko Muhimbili Emergency hapa nimemleta baba yangu anapata Changamoto ya upumuaji kawekewa oxygen toka saa 8 na sukari yake iko juu sana over 20 ila haijaguswa hadi muda huu.
Shida ninayopata imetokea tu bahati mbaya Manesi wamemchukia sana kiasi sijajua kwanini na nahofia wanaweza kumuua nikiondoka. Nurse aliyekuwa Day leo alimpenda sana hata pampasi alituambia tununue atamvalisha, ila aliyeingia Night kamchukia sana hata sisi kumlisha imekuwa shida ana visirani na Mgonjwa hadi naogopa sijajua amewakosea nini wakati hata kuongea hawezi. Nitamtaja jina lake baadae na vitendo anavyomfanyia na Afroking zake.
Niko kwenye wakati mgumu sana niko kwenye Taasisi ya Serikali ambayo inaweza ku-influence nikasaidiwa haraka sana kwa maelekezo kabisa ila nahofia nikiitumia nafasi yangu watanijua na wanaweza kummaliza kwa style nyingine.
Niko kwenye wakati mgumu sana naombeni msaada, ushauri na maoni yatakayoweza kusaidia kuokoa uhai wa Mzee wangu.
Kwamba huyo nesi mzee aliwahi kumpitia halafu akamtema?Duuuh pole hapo kunanamna
Tukurushie hela ya matibabu kwa namba gani?Wapendwa Habari za jioni,
Niko Muhimbili Emergency hapa nimemleta baba yangu anapata Changamoto ya upumuaji kawekewa oxygen toka saa 8 na sukari yake iko juu sana over 20 ila haijaguswa hadi muda huu.
Shida ninayopata imetokea tu bahati mbaya Manesi wamemchukia sana kiasi sijajua kwanini na nahofia wanaweza kumuua nikiondoka. Nurse aliyekuwa Day leo alimpenda sana hata pampasi alituambia tununue atamvalisha, ila aliyeingia Night kamchukia sana hata sisi kumlisha imekuwa shida ana visirani na Mgonjwa hadi naogopa sijajua amewakosea nini wakati hata kuongea hawezi. Nitamtaja jina lake baadae na vitendo anavyomfanyia na Afroking zake.
Niko kwenye wakati mgumu sana niko kwenye Taasisi ya Serikali ambayo inaweza ku-influence nikasaidiwa haraka sana kwa maelekezo kabisa ila nahofia nikiitumia nafasi yangu watanijua na wanaweza kummaliza kwa style nyingine.
Niko kwenye wakati mgumu sana naombeni msaada, ushauri na maoni yatakayoweza kusaidia kuokoa uhai wa Mzee wangu.
Hapa mtandaoni siyo mahala husika siyo?? Ile shule kule Ubungo iliyojengwa vyumba 7 kwa wiki 3 taarifa zilianzia chumbani kwako siyo??Huu utamaduni ulioanza kuota mizizi hapa nchini ni hatari kwa ustawi wa vizazi vijavyo mtu badala ya kutoa taarifa sehemu husika analalamika mtandaoni!