Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi amefariki baba ake au??? Yani kiukwelii haya mambo magumu sana kuna manesi wengine au Dr ukitumia Cheo chako ndo unaharibu kabisa na hawa ni 98% labda kama ni ndugu wa mtu wanafanya nae kazi lakini Wana attitude sana ukitaka kuwacontrol. Ila kiukweli jamaa atumie tuu Cheo chake potelea pote tena amuitee yule mkuu wao manesi sio apigizane kelele na manesi direct amuite Incharge wao na Dr on duty au DNS kabisa...hapo atawawezaPole sana mkuu
Mbaya zaidi anakiri ana nafasi ya kuweza kukabili tatizo ila anaomba msaada kwa watu mtandaoni.
Tuambie mkuu nini cha kufanya
Ni nyungu kwa kwenda mbele, we hujaelewa tu jamaa alichomaanisha kufanya
Kuwa.mpole kila MTU akiwa ofisini kwake anahitaj heshima na kujimwambafy ongea nae kiupole akusaidie binadamu wote wanapenda kuwa appreciated
Sema Sasa icho kitu chakufanya ili wengine wasifike kwenye oxygen.
Tuambie mkuu nini cha kufanya ♀️
Mzee wangu baada ya nyungu ndio hali imekuwa mbaya amekimbizwa hospitali mkuu ndio maana nikauliza
TuambieMgonjwa wa Corona ni rahisi sana kupona kabla hajafikia hiyo stage ya kuwekewa oxygen.Kwa nini umekaa kimya hadi amewekewa oxygen halafu ndiyo unataka ushauri?Ingekuwa alikuwa bado hajawekewa oxygen ningekuambia cha kufanya.