jjs2017
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 2,023
- 4,212
Habari za wakati huu ndugu zangu..
Mke wangu (miaka 29) anasumbuliwa sana na maumivu ya kichwa, kichwa kinamuuma sana mpaka anasikia kinazunguka kwa ndani na anahisi kinakuwa kizito alienda hospitali akapimwa akaambiwa ana typhoid na ana damu ya 10.5 ila hawakuona tatizo lingine amemaliza dawa yapata mwezi sasa bado hali ipo pale nimemrudisha hospital ila hawajaona tatizo lingine.. Naombeni msaada wenu kwa anaejua tiba au tatizo ni nini hasa linalomsumbua mpaka kupelekea kusikia maumivu makali ya kichwa hadi kuhisi kinazunguka kwa ndani
Asanteni
Mke wangu (miaka 29) anasumbuliwa sana na maumivu ya kichwa, kichwa kinamuuma sana mpaka anasikia kinazunguka kwa ndani na anahisi kinakuwa kizito alienda hospitali akapimwa akaambiwa ana typhoid na ana damu ya 10.5 ila hawakuona tatizo lingine amemaliza dawa yapata mwezi sasa bado hali ipo pale nimemrudisha hospital ila hawajaona tatizo lingine.. Naombeni msaada wenu kwa anaejua tiba au tatizo ni nini hasa linalomsumbua mpaka kupelekea kusikia maumivu makali ya kichwa hadi kuhisi kinazunguka kwa ndani
Asanteni