Gozaka
Member
- Aug 29, 2012
- 58
- 28
wana jamii ili tatizo limetokea ghafla, simu yangu ilikuwa inafanya kaz vizur huku ikisoma memory!
kuna saa nka irestart baada ya kuwaka ikaniindikia SD CARD BLANK OR HAS UNSUPPORTED FILE SYSTEM!
Toka hapo, haijaisoma tena, af ukienda kwny nymbo list yote hipo lakini haziimbi
ukiweka memory nyingine inasoma vizuri tuu!!
na
naombeni msaada wenu.
kuna saa nka irestart baada ya kuwaka ikaniindikia SD CARD BLANK OR HAS UNSUPPORTED FILE SYSTEM!
Toka hapo, haijaisoma tena, af ukienda kwny nymbo list yote hipo lakini haziimbi
ukiweka memory nyingine inasoma vizuri tuu!!
na
naombeni msaada wenu.