Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari wakuu,
naombeni msaada anayejua ratiba ya treni ya Mwakyembe
hususani kuanzia asubuhi kutoka ubungo kuja stesheni.
inaanza saa ngapi na inafanya trip ngapi?
nateseka sana na usafiri wa daladala.
Acha kebehi wewe, angalia usije kukufuru na siku moja ukajutia hizo kebehi zako, huko nje uliko mambo yanaweza yakakuharibikia na ukashangaa siku moja hata hiyo dala dala ukashindwa kulipa, nakupa somo tu, tunawajua wengi waliokuwa hivyo, wakifika ulaya basi wanakebehi kila kitu chetu mpaka wanapitiliza halafu kibao kinakuja kuwageukia shauri yako!!
linatoka ubungo saa 11 asubuhi kupitia mbezi beach tegeta,mbagala,kimara,pugu,tandale kwa tumbo,buguruni madenge,morroco na kuishia masaki mwisho
Nimezaliwa na kukulia Tanzania sihitaji kumjua Mtanzania kuweza kumuelewa, Mtanzania wa kawaida hawezi kuuliza swali kama hilo tena kwenye internet, huyu jamaa anakebehi na wala hana hiyo shida!Do you know him/her?
We endelea kukebehi tu maisha ya watu,mpaka hapo zamu yako itakapofika ndio utajua!Kijakazi nimeomba msaada
please be concise to the topic.
pamoja we can build and improve our living.
siku hizi treni zipo nyingi kama daladala hazina ratibaKijakazi nimeomba msaada
please be concise to the topic.
pamoja we can build and improve our living.
kwani na wewe hujui kweli?JF kila kitu mzaa jamani msaidieni ratiba mnaoijua !
moderator mbona unamashaka na jibu langu unataka unipe ban nini?:banplease:Mmmmmh!
kwani na wewe hujui kweli?
Nimezaliwa na kukulia Tanzania sihitaji kumjua Mtanzania kuweza kumuelewa, Mtanzania wa kawaida hawezi kuuliza swali kama hilo tena kwenye internet, huyu jamaa anakebehi na wala hana hiyo shida!
linatoka ubungo saa 11 asubuhi
kupitia mbezi beach tegeta,
mbagala,kimara,
pugu,tandale kwa tumbo,
buguruni madenge,
morroco na kuishia masaki mwisho
Mmmmmh!
habari wakuu,
naombeni msaada anayejua ratiba ya treni ya mwakyembe
hususani kuanzia asubuhi kutoka ubungo kuja stesheni.
Inaanza saa ngapi na inafanya trip ngapi?
Nateseka sana na usafiri wa daladala.
Ukimjibu utapungukiwa nini? Kila wakati mnawaza kujibu maswali visivyo. Uelewe Jibu unalotoa hapa halimsaidii yeye tu. Bali na JF wengine. Sasa unapojibu utumbo unatusaidia nini. Jamani kama mtu huna jibu ni bora kunyamaza, kwani lazima kila linaloulizwa hapa ujibu?