Guy Isaac
Senior Member
- Aug 10, 2019
- 126
- 60
Habari zenu wana JF, ningeomba msaada juu ya hili swala kwa wataalam, mimi nimeapply chuo cha UDOM mwaka huu kupitia internet cafe, cha kushangaza jana nimejaribu ku-sign in naambiwa wrong password nikajaribu ku-reset password kwenye gmail niliyoitumia as username zaidi ya Mara tano lakini sipati majibu yeyote ya kupata new password, sasa nimekuja kugundua kwamba ile email niliyotumia haiko activated hivyo nimeshindwa kupata password mpya .
wakubwa naomba msaada wenu nifanye nini nipate hizo password kwasababu bila kupata hizo siwezi jua Kama nimechaguliwa kujiunga na chuo au Laa,mimi Sina uzoefu na haya maswala na sijui hata cha kufanya .
Nimeamua kuandika uzi huu kwenu najua humu kuna wabobezi wa haya mambo, naheshimu mawazo ya kila mtu lkn pia am very sorry kwa disturbance
wakubwa naomba msaada wenu nifanye nini nipate hizo password kwasababu bila kupata hizo siwezi jua Kama nimechaguliwa kujiunga na chuo au Laa,mimi Sina uzoefu na haya maswala na sijui hata cha kufanya .
Nimeamua kuandika uzi huu kwenu najua humu kuna wabobezi wa haya mambo, naheshimu mawazo ya kila mtu lkn pia am very sorry kwa disturbance