Town Hustler
JF-Expert Member
- Oct 25, 2016
- 278
- 364
Heshima kwenu wakuu !
Nipo kijiji fulani nyanda za juu kusini...natumia solar tangu Jan
Nilinunua betri mpya ya Sundar yenye ukubwa wa 12V 18 AH/ 20HRS na Panel ya Watt 20 nikawa natumia taa 1 na kuchaji simu pekee
Mwezi wa 4 nikaongezea taa 4 (za Watt 3 mbili na Watt 2 mbili)
Mwanzoni mwa mwezi huu ikaanza shida ikawa haiawki kabisa nikaita fundi akasema betri ni ndogo kuliko matumizi ikachokonoa ikawa fresh
Baada ya siku 3 tatizo likarudi vilevile akaja fundi mwingine akadai betri sio tatizo ila waya tu akachokonoa ikawa fresh ila now haiwaki tena
Wataalamu mnahisi tatizo nini ?
Na je nitafute betri au niongeze panel ya Watt ngapi ?
Matumizi yangu ni :
1/kuchaji simu
2/Taa 5 za Watt 3 ila huwa nawasha 4 na kulala naacha mbili tu
Natanguliza shukrani
Nipo kijiji fulani nyanda za juu kusini...natumia solar tangu Jan
Nilinunua betri mpya ya Sundar yenye ukubwa wa 12V 18 AH/ 20HRS na Panel ya Watt 20 nikawa natumia taa 1 na kuchaji simu pekee
Mwezi wa 4 nikaongezea taa 4 (za Watt 3 mbili na Watt 2 mbili)
Mwanzoni mwa mwezi huu ikaanza shida ikawa haiawki kabisa nikaita fundi akasema betri ni ndogo kuliko matumizi ikachokonoa ikawa fresh
Baada ya siku 3 tatizo likarudi vilevile akaja fundi mwingine akadai betri sio tatizo ila waya tu akachokonoa ikawa fresh ila now haiwaki tena
Wataalamu mnahisi tatizo nini ?
Na je nitafute betri au niongeze panel ya Watt ngapi ?
Matumizi yangu ni :
1/kuchaji simu
2/Taa 5 za Watt 3 ila huwa nawasha 4 na kulala naacha mbili tu
Natanguliza shukrani