Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,558
- 45,828
Nina tatizo la uzito mkubwa yaani hadi miguu inavimba sana.
Changamoto yangu ni kupenda kula vitu vitamu, chocolates, biscuits, kuku etc. Siwezi kucontrol uzito wangu kwa kujinyima kula. Hela natafuta kwa shida sana so saa ya matumizi especially kula naona tu niachwe nile nachotaka.
Nachoomba kwenu Ni kama kuna dawa ya kupunguza uzito isiyo na madhara ukizingatia mimi ni mwanamke nataka kuzaa. Isije ikaondoka na mayai yangu nikakosa mrithi wakuu
Changamoto yangu ni kupenda kula vitu vitamu, chocolates, biscuits, kuku etc. Siwezi kucontrol uzito wangu kwa kujinyima kula. Hela natafuta kwa shida sana so saa ya matumizi especially kula naona tu niachwe nile nachotaka.
Nachoomba kwenu Ni kama kuna dawa ya kupunguza uzito isiyo na madhara ukizingatia mimi ni mwanamke nataka kuzaa. Isije ikaondoka na mayai yangu nikakosa mrithi wakuu