Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,172
- 34,278
Yes thats's lifenever mind sijui mie ntasaidiwa na nani by the way hii kazi nifanyayo nipo hapa mwaka wa 6 na nilisaidiwa tu na mwanadada fulani yeye ameshapunguzwa kitambo mi bado nipo ila mungu alimsaidia pia alishapata kazi huwa mungu anaona atii kama si mie ni mwanangu that is how life is
Ukitenda wema wema utalipwa wema kwa njia yogite ile na ukitenda ubaya utalipwa ubaya vipe vile,